Tetesi: Shetani hana Rafiki: Vunjabei apingwa Ismani

Tetesi: Shetani hana Rafiki: Vunjabei apingwa Ismani

Mtu na Kaka yake wawe wabunge? Hiyo ni kwa ajili ya familia za wenyewe tu.

Hata Pacha wate Dotto Biteko alikatwa 2020 licha ya kuongoza kwenye kura za maoni.
 
Taarifa zingine zinaeleza kwamba yuko anayeitwa Kiswaga ambaye ni Mwanamtandao ndiye anapigiwa chapuo
Kiswaga Enock, alipambana kwenye jimbo la Waning'ombe, akashinda enzi za magufuli, vikao vya juu vikamwengua.
Huyu dogo ana connection za hatari. Atapata hii nafasi.
 
Vunjabei anatumia nguvu kubwa sana kushinikiza apitishwe kinguvu na wengine wanadiriki kusema CCM isipomtisha CCM itashindwa.

CCM haiwezi kushindwa kipindi hiki kwa nguvu kubwa iliyonayo, ni kubwa mno mpaka inatisha.

Historia ya CCM ni muujiza unaoishi na kama ingekuwa kufa ingetakiwa kuwa 2015 Lowassa alipokatwa kwa sababu kuu mbili

1. 2015 CCM haikujiandaa kuondoka kwa Lowassa kwenda upinzani na kitendo hiko Cha ghafla kiliweza kustahilika na CCM kushinda

2. CCM imefanya mabadiliko mengi katika ya kuondoa ukuu wa mtu na kujenga ukuu wa Chama na hivyo kufanya wanachama wote waone hakuna nafasi nyingine nje ya CCM.

Hizo sababu ndizo zimeweza kuimarisha CCM hivi ilivyo Leo, CCM sasa kimejiandaa kwa yeyote kukihama Chama na Bado kikawa na uhakika wa ushindi ndio maana Leo CCM hakihofii kuchukua aliyekuwa wa mwisho kura za maoni.
Vunjabei anatumia nguvu kubwa sana kushinikiza apitishwe kinguvu na wengine wanadiriki kusema CCM isipomtisha CCM itashindwa.

CCM haiwezi kushindwa kipindi hiki kwa nguvu kubwa iliyonayo, ni kubwa mno mpaka inatisha.

Historia ya CCM ni muujiza unaoishi na kama ingekuwa kufa ingetakiwa kuwa 2015 Lowassa alipokatwa kwa sababu kuu mbili

1. 2015 CCM haikujiandaa kuondoka kwa Lowassa kwenda upinzani na kitendo hiko Cha ghafla kiliweza kustahilika na CCM kushinda

2. CCM imefanya mabadiliko mengi katika ya kuondoa ukuu wa mtu na kujenga ukuu wa Chama na hivyo kufanya wanachama wote waone hakuna nafasi nyingine nje ya CCM.

Hizo sababu ndizo zimeweza kuimarisha CCM hivi ilivyo Leo, CCM sasa kimejiandaa kwa yeyote kukihama Chama na Bado kikawa na uhakika wa ushindi ndio maana Leo CCM hakihofii kuchukua aliyekuwa wa mwisho kura za maoni.
Kaka na wewe uligombea kwenye kura za maoni mbona haujatujuza ulipata kura ngapi?

Usimseme vunja bei kisa amekubwaga kwenye kura za maoni
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom