Tetesi: Shetani hana Rafiki: Vunjabei apingwa Ismani

Tetesi: Shetani hana Rafiki: Vunjabei apingwa Ismani

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
141,433
Reaction score
283,704
Mara zote huwa sihangaiki na masuala ya CCM, lakini linapokuja jambo la kuparurana, kulogana na kuuana huwa nafurahia

Pamoja na kushinda kinachoitwa kura za maoni huko Isman wazito wa CCM wanamkataa

Sababu ya kwanza Bwana Fred anaitwa "Mhuni" anayetajwa kuingia CCM ili kutafuta koneksheni tu, anadaiwa hujui hata ukurasa Mmoja wa katiba ya CCM, wanasema amekuja kujificha ili makandokando yake yalindwe

Sababu nyingine inasemwa kwamba kwa vile Kaka yake ni Mbunge wa Iringa Mjini haiwezekani yeye apewe Ismani, kwamba Majimbo ya Iringa yatakuwa ya ukoo, na kwamba linaweza kutokea jimbo lingine kuwa wazi wakamleta Dada yao agombee

Kwa Taarifa hii Tajiri Vunjabei ngoma bado mbichi, vikao vya juu vyaweza kumfyeka
 
Mara zote huwa sihangaiki n.a. masuala ya ccm, lakini linapokuja jambo la kuparurana, kulogana n.a. kuuwana huwa nafurahia

Pamoja n.a. kushinda kinachoitwa kura za maoni huko Isman wazito wa ccm wanamkataa

Sababu ya kwanza Bwana Fred anaitwa "Mhuni" anayetajwa kuingia ccm ili kutafuta koneksheni tu, anadaiwa hujui hata ukurasa Mmoja wa katiba ya ccm , wanasema amekuja kujificha ili makandokando yake yalindwe

Sababu nyingine inasemwa kwamba kwa vile Kaka yake ni Mbunge wa Iringa Mjini haiwezekani yeye apewe Ismani, kwamba Majimbo ya Iringa Yatakuwa ya ukoo, na kwamba linaweza kutokea jimbo lingine kuwa wazi wakamleta Dada yao agombee

Kwa Taarifa hii Tajiri Vunjabei ngoma bado mbichi, vikao vya juu vyaweza kumfyeka
Hayo makandokando uliyosema, viongozi wote wa Ccm wanayo.

Kwani hawaelewi samuya ambaye ndiye wa mfano kaweka ukoo wake mzima kwenye top brass?
 
Mara zote huwa sihangaiki na masuala ya CCM, lakini linapokuja jambo la kuparurana, kulogana na kuuana huwa nafurahia

Pamoja na kushinda kinachoitwa kura za maoni huko Isman wazito wa CCM wanamkataa

Sababu ya kwanza Bwana Fred anaitwa "Mhuni" anayetajwa kuingia CCM ili kutafuta koneksheni tu, anadaiwa hujui hata ukurasa Mmoja wa katiba ya CCM, wanasema amekuja kujificha ili makandokando yake yalindwe

Sababu nyingine inasemwa kwamba kwa vile Kaka yake ni Mbunge wa Iringa Mjini haiwezekani yeye apewe Ismani, kwamba Majimbo ya Iringa yatakuwa ya ukoo, na kwamba linaweza kutokea jimbo lingine kuwa wazi wakamleta Dada yao agombee

Kwa Taarifa hii Tajiri Vunjabei ngoma bado mbichi, vikao vya juu vyaweza kumfyeka
nonsense and completely useless
 
Nilishawahi kutoa list ya wanaCCM wanaokipigania chama pendwa hapa JF nikamweka Erythrocyte namba 6 nikashangaa Mods wameondoa jina lake. Mleta uzi ana nyuzi nyingi sana kuhusu CCM hali inayoonyesha ana mapenzi mazito na CCM. Ninampongeza kwa kazi nzuri.
Shetani anayetajwa kila mara kwenye nyumba za ibada ana uhusiano gani na waumini?
 
Mara zote huwa sihangaiki na masuala ya CCM, lakini linapokuja jambo la kuparurana, kulogana na kuuana huwa nafurahia

Pamoja na kushinda kinachoitwa kura za maoni huko Isman wazito wa CCM wanamkataa

Sababu ya kwanza Bwana Fred anaitwa "Mhuni" anayetajwa kuingia CCM ili kutafuta koneksheni tu, anadaiwa hujui hata ukurasa Mmoja wa katiba ya CCM, wanasema amekuja kujificha ili makandokando yake yalindwe

Sababu nyingine inasemwa kwamba kwa vile Kaka yake ni Mbunge wa Iringa Mjini haiwezekani yeye apewe Ismani, kwamba Majimbo ya Iringa yatakuwa ya ukoo, na kwamba linaweza kutokea jimbo lingine kuwa wazi wakamleta Dada yao agombee

Kwa Taarifa hii Tajiri Vunjabei ngoma bado mbichi, vikao vya juu vyaweza kumfyeka
Kwanini wasitumie mbinu zile zile kujaza nafasi?
 
Vunjabei anatumia nguvu kubwa sana kushinikiza apitishwe kinguvu na wengine wanadiriki kusema CCM isipomtisha CCM itashindwa.

CCM haiwezi kushindwa kipindi hiki kwa nguvu kubwa iliyonayo, ni kubwa mno mpaka inatisha.

Historia ya CCM ni muujiza unaoishi na kama ingekuwa kufa ingetakiwa kuwa 2015 Lowassa alipokatwa kwa sababu kuu mbili

1. 2015 CCM haikujiandaa kuondoka kwa Lowassa kwenda upinzani na kitendo hiko Cha ghafla kiliweza kustahilika na CCM kushinda

2. CCM imefanya mabadiliko mengi katika ya kuondoa ukuu wa mtu na kujenga ukuu wa Chama na hivyo kufanya wanachama wote waone hakuna nafasi nyingine nje ya CCM.

Hizo sababu ndizo zimeweza kuimarisha CCM hivi ilivyo Leo, CCM sasa kimejiandaa kwa yeyote kukihama Chama na Bado kikawa na uhakika wa ushindi ndio maana Leo CCM hakihofii kuchukua aliyekuwa wa mwisho kura za maoni.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom