popbwinyo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 4,986
- 3,607
Kwa nini hakubaki kwa wachungaji unaowasifia akakimbilia hospitali,Hata hispitali ni mali ya Bwana
Kwa kweli wakati mwingine tumuache mzee wa watu shetani apumzike sio kila kitu tunamsingiziaMwambie akae mbali na madawa ya kulevya na utapeli, hayo ndiyo mafisi yanayomnyemelea
Sent using Jamii Forums mobile app
Jifunzeni kubeba lawama zenu, kutokana na madhaifu yenuTulia ujifunze
Asingewai hospital angeona cha mtema kuni, toka lini kelele zikawa dawa ?Kwa nini hakubaki kwa wachungaji unaowasifia akakimbilia hospitali,
Mnaongoza kwa kuua zaidi hata ya watoa mimba,huyu Dada angekufa mngekuwa mmemuua kwa maombi uchwara yenu
Sent using Jamii Forums mobile app
Na wameua watu sana kwa kupuuza nguvu ya Mungu aliyoiweka ktk madawa na vyakula,dhambi ya uuaji itawaandama sana hawa jamaa,yapo mambo ya kuomba na yapo ya kujitatulia wenyewe,ndo maana Mungu alituwekea akili kubwa na kuamuru kutawala kila kitu,Asingewai hospital angeona cha mtema kuni, toka lini kelele zikawa dawa ?
Hajatelekeza familia,tuwe wakweliMaoni yangu ni aache utapel madawa uzinzi na kubwa zaid aiombe msamaha familia yake aliyoitelekeza na atubu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sizungumzii familia ya watoto wake nazungumzia familia ya ndugu zake kama dadake
Jitu zima unalitelekezaje,Dada ni mwanafamilia ya Rose,Sizungumzii familia ya watoto wake nazungumzia familia ya ndugu zake kama dadake
Sent using Jamii Forums mobile app
Anatumia sasa ipasavyo dawa za ARVAshukuriwe Mungu aliye juu, tukiwa kwenye wiki takatifu, wiki ya kufufuka kwa mkombozi wa ulimwengu YESU KRISTO hatimaye shetani ameaibika tena baada ya maombi ya kumwombea mtumishi wa Mungu Rose Muhando
Shukrani ziwaende watumishi wa Mungu Kenya waliojitoa kwa hali na mali kuhakikisha Rose anakuwa salama
Baada ya miezi kadhaa sasa umerudi kuwa vema
Ushauri kwa Rose kaa mbali na mafisi yanayokutamani kwani wewe umebeba maono ya watu wengi kupitia uimbaji wako.
Niwatakie wiki njema ya kwaresma kuelekea kufufuka kwa KRISTO
Jifunzeni kubeba lawama zenu, kutokana na madhaifu yenu
AibuMbona walia lia povu la nini dume zima wataka rose akuhudumie
Mashamba yapo mengi nenda kalime
Mbona walia lia povu la nini dume zima wataka rose akuhudumie
Mashamba yapo mengi nenda kalime
MimiWe ni nani hadi uwe mtimilifu