KIKOJR_TZ
Senior Member
- May 1, 2020
- 169
- 99
Hivi kazi ya lile tunda ambalo Mungu aliwaambia Adam na Hawa wasilile ilikuwa ni nini?Mfano tu wa Baba Na mwana
Baba akinunua kisu
Ana mwambia mwanaye mwanangu
Usicheze Na kisu icho kitakukata
Je siku ikitokea mtoto kakatwa Na kisu Kile
Je utasema Baba alijua kuwa mwanaye kisu kile kitamkata?
Jibu ni apana but alijua kisu ni kibaya
Na ndivyo ilivyo kuwa kwa Mungu Na shetani
Mungu alimuumba shetani akutegea shatani kama ana weza Kuja kumsaliti au kumkosea
Yaani makosa Na mema ni kama sheria za Mungu ana jua ukifanya ivi utakuwa you Will Make him to be happy but if you Do this utakuwa umemkosea
Sasa shetani alifanya vile ambavyo Mungu apendi ndo maana Mungu alimtupa Chini
Kwa iyo shetani akuumbwa ili akosee apana Bali tamaa zake ndizo zilizo mfanya kuwa mkosaji kwa Mungu Wala si mpango wa Mungu
Na kuhusu Adam Na Eva Mungu aliwaumba Na akawapa Na sheria kuwa ukila tunda ili utakuwa umenikosea
Mungu alijua kuwa kukosa kupo
Ila akupanga wa kosee Bali tamaa Zao ndizo zilizo waponza wakala wa kashindwa kuheshimu walicho ambiwa Na Mungu
Apo vipi utasema Mungu alipanga wa kosee angelikuwa amepanga wa kosee asingeli wa ambia kuwa wa kila tunda ilo watakufa au watamkosea
Si mpango wake kwanini wa Sasa awambie
Kila kinacho kifanya mwanadamu kilipangwa Na Mungu Bali akupanga
Yaani mabaya Na Mazuri Na kizuri zaidi Mungu ana tuambia Kabla ujakosea una ambiwa ukifanya uzinzi ni kosa lakini wewe unafanya utasema aje apo Mungu ndiye aliye panga wewe kufanya uzinzi?
Kwa iyo ndivyo ilivyo Mambo ya Mungu ivyo
Alifanya mabaya kwa Mazuri
Pili akakuonyesha mabaya Na Mazuri kuwa ukifanya iki ni kosa Na ukifanya iki ni kizuri Na cha mwisho akakupa Na Akili kabisa ya kuhelewa ubaya Na uzuri
Ila sorry kama nime kosea nilitaka kuwaonyesha wale wanao sema
Kila kitu kimepangwa Na Mungu
Kuwa ukikosea ni Mungu ndiye aliye panga kitu ambacho si Kweli
Hakukuwa na mahali pengine pakuuweka ule mti mpaka akauweka bustanini?