mshale21
JF-Expert Member
- Apr 8, 2021
- 2,049
- 4,904
Salaam nyingi wana JF
Hili suala la kujiwekea kinga kwa watawala ni ishara ya kujitengenezea mamlaka isiyojali haki za binadamu, mamlaka isiyojali misingi ya sheria na utawala Bora, mamlakana ya kidikteta iliyojawa viongozi wenye viburi, jeuri na wasio wasikivu, ambao wanaweza kufanya kitu Cha hatari zaidi kwa taifa letu huku wakijua kua hakuna atakaewapeleka kokote Wala kuwafanya lolote tofauti Kama ingetokea kwa mwananchi mwingine wa kawaida!
Sasa, sisi wote ni binadamu wa kawaida tofauti ni vyeo tu, katiba inasema hakuna mtu yoyote aliye juu ya sheria, wote tuko sawa mbele ya sheria, kwa nini kuwepo na hizo double standard?
WITO WANGU KWA MAMA SAMIA SULUHU HASSAN
Rais wetu wa JMT, unayo nafasi ya kuweka legacy, kwa kuondoa hili suala la KINGA kwa viongozi wakubwa, ili iwape hofu na utawala uendeshwe kwa mujibu wa sheria, huku watekelezaji wa sheria hizo mkiwa ninyi viongozi wa ngazi za juu, na sio wavunjaji Kama ilivyo Sasa.
Hili suala la kujiwekea kinga kwa watawala ni ishara ya kujitengenezea mamlaka isiyojali haki za binadamu, mamlaka isiyojali misingi ya sheria na utawala Bora, mamlakana ya kidikteta iliyojawa viongozi wenye viburi, jeuri na wasio wasikivu, ambao wanaweza kufanya kitu Cha hatari zaidi kwa taifa letu huku wakijua kua hakuna atakaewapeleka kokote Wala kuwafanya lolote tofauti Kama ingetokea kwa mwananchi mwingine wa kawaida!
Sasa, sisi wote ni binadamu wa kawaida tofauti ni vyeo tu, katiba inasema hakuna mtu yoyote aliye juu ya sheria, wote tuko sawa mbele ya sheria, kwa nini kuwepo na hizo double standard?
WITO WANGU KWA MAMA SAMIA SULUHU HASSAN
Rais wetu wa JMT, unayo nafasi ya kuweka legacy, kwa kuondoa hili suala la KINGA kwa viongozi wakubwa, ili iwape hofu na utawala uendeshwe kwa mujibu wa sheria, huku watekelezaji wa sheria hizo mkiwa ninyi viongozi wa ngazi za juu, na sio wavunjaji Kama ilivyo Sasa.