Shuleless
JF-Expert Member
- Aug 12, 2015
- 4,972
- 6,245
Tehnext time atutafsirie na maana ya "ukandika"
Lugha ya taifa ngumu kumbe!
Tehnext time atutafsirie na maana ya "ukandika"
Duh! Hatari. Hii thread inamizimu.next time atutafsirie na maana ya "ukandika"
mhhKubugi =kukosea/kufanya makosa/kushindwa kwa mfano mtu ukifanya jambo alaf likakushinda ,watu wa uswaz tunasema umebugi...
ha haaa"titre"nawe umemrekebisha?
hii thread ni kiboko,"kimamisha watu"Inawezekanaje kuzuia watu kujaa kwenye daladala (overcapacity) ili hali hata mwendokasi imekuwa designed kimamisha watu. Nchi haina speed governor/limit
Haya bhana ulinikamata.. Nisharekebisha

Au siokajipange tena,pili acha ujinga nunua daladala zako za kutosha uziongeze ili watu wasiwe wengi kwenye daladala moja kama unavyotaka
Sawa ulopobugi!
Hatua gani tena??Uliona balabala ya wapi ambako magali yanajaza abilia mpaka mrangoni? Urichukua hatua gani? Wewe nawe eti wajiita UrbanGentleman hapana wewe utakuwa "ulbangentreman"
Tena mizimu ya wahindi na wakuryaDuh! Hatari. Hii thread inamizimu.
hebu hakiki taarifa yako kwanza maana una tia hasira!
inaitwa barabara na pia ni mbagala na sio mbagara tena ni gongo la mboto na si gongo la mbota...hayo ni yangu kwa sasa
itakua balabala ya mologolo load
Balabalani ndo vitu gani!?!?
Kweli hii ndo JF ukiskia nyingine photocopy.. Ukandika post unaikagua mara mbili mbili maana kuna wadau wao wanacheki ulipobugi tu.... Napita tu jaman![]()
![]()
![]()
![]()
Umeona eeh? Huu mchezo hauhitaji hasiraHumu ndani kama una hasira unaweza kuvunja simu....
wewe kusoma na kuandika ni shida sheria za barabarani umezijuaje?Yani hii issue imekua sugu Muda mrefu na sioni apology hapa,kama gari binafsi ikibeba watu kuliko kiwango chake traffic officers wanatwanga notifications lakini mbona daladala wamezifumbia macho??, unakuta kitu ya mbagala,gongo la mboto,imeshona vibaya na pengine nje ya uwezo wa gari lakin hivi izi sheria ni kwamba hazina usawa au washika dau wamezifumbia macho??
Seriously???wewe kusoma na kuandika ni shida sheria za barabarani umezijuaje?