UrbanGentleman
JF-Expert Member
- Jun 19, 2016
- 2,584
- 1,886
- Thread starter
- #61
Hapo sasa umeelewa nilikua nazungumzia nini asante kwa kudadavua zaidiInashangaza!!! Askari anakukamata, mko wawili tu kwenye gari, eti abiria wako wa mbele hajafunga mkanda kama wewe dereva, anakuandikia faini ya 30,000. Wakati unalipa "daladala" inapita watu 30 amefunga mkanda dereva peke yake, 29 hawajafunga - hawakamatwi!!. Really st...!!
