Blaki Womani
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 11,228
- 13,448
Lekebisha titre mkuu, ni hayo tu. Wako mpendwa Lichadi Magufuri
nawe umemrekebisha?
Lekebisha titre mkuu, ni hayo tu. Wako mpendwa Lichadi Magufuri
Ulopobugi = UlipobugiKweli hii ndo JF ukiskia nyingine photocopy.. Ukandika post unaikagua mara mbili mbili maana kuna wadau wao wanacheki ulopobugi tu.... Napita tu jaman![]()
![]()
![]()
![]()
magali ya abiliaYanapo pita magali
Yani hii issue imekua sugu Muda mrefu na sioni apology hapa,kama gari binafsi ikibeba watu kuliko kiwango chake traffic officers wanatwanga notifications lakini mbona daladala wamezifumbia macho??, unakuta kitu ya mbagala,gongo la mboto,imeshona vibaya na pengine nje ya uwezo wa gari lakin hivi izi sheria ni kwamba hazina usawa au washika dau wamezifumbia macho??
Dah....🙂Sitarajii mtu wa Jamii furum home of Great thinker kushindwa kuandika,yaani unawezaje kuandika balabala badala ya barabara?daaaa
Sitarajii mtu wa Jamii furum home of Great thinker kushindwa kuandika,yaani unawezaje kuandika balabala badala ya barabara?daaaa
WANAUME WA DAR BUANA!Yani hii issue imekua sugu Muda mrefu na sioni apology hapa,kama gari binafsi ikibeba watu kuliko kiwango chake traffic officers wanatwanga notifications lakini mbona daladala wamezifumbia macho??, unakuta kitu ya mbagala,gongo la mboto,imeshona vibaya na pengine nje ya uwezo wa gari lakin hivi izi sheria ni kwamba hazina usawa au washika dau wamezifumbia macho??
"Lekebisha" "titre" na wewe ukajipange kwanza.
MKUU MSAADA ulopobugi NI NINI HII?Kweli hii ndo JF ukiskia nyingine photocopy.. Ukandika post unaikagua mara mbili mbili maana kuna wadau wao wanacheki ulopobugi tu.... Napita tu jaman![]()
![]()
![]()
![]()
next time atutafsirie na maana ya "ukandika"Sawa ulopobugi!
Kubugi =kukosea/kufanya makosa/kushindwa kwa mfano mtu ukifanya jambo alaf likakushinda ,watu wa uswaz tunasema umebugi...MKUU MSAADA ulopobugi NI NINI HII?
Kisu cha ngariba nae kimempitia!! Teh! Teh!"Lekebisha" "titre" na wewe ukajipange kwanza.
😉😉😉😉😉😉😉😉😉😉😉😉😉Lekebisha titre mkuu, ni hayo tu. Wako mpendwa Lichadi Magufuri