Motowntzjpm
Senior Member
- Jun 16, 2023
- 118
- 191
Habari,
Yes, Uraia huo upo, kuoa au kuolewa.
Kwa Tanzania, mtu mwenye uraia wa nchi nyingine (mfano England) akioa Tanzania anakuwa na haki na taifa litamtambua kama Mtanzania na lakini hatopata uraia wa kudumu mpaka pale atakapoukacha uraia wa England maana katiba yetu hairuhusu uraia pacha.
Yes, Uraia huo upo, kuoa au kuolewa.
Kwa Tanzania, mtu mwenye uraia wa nchi nyingine (mfano England) akioa Tanzania anakuwa na haki na taifa litamtambua kama Mtanzania na lakini hatopata uraia wa kudumu mpaka pale atakapoukacha uraia wa England maana katiba yetu hairuhusu uraia pacha.