Sheria ya ndoa ya mke mmoja kwetu sisi wakristo ilitoka kwa nani?

kwisha

JF-Expert Member
Sep 9, 2021
1,666
4,365
Hivi nafikiria kabisa kwa undani
Sheria ya kuoa mke mmoja kwetu sisi wakristo imetoka kwa Mungu au kwa wanadamu?

Kama ni kwa Mungu je Mungu alishindwa kabisa kujua kuwa mwanaume hawezi kutulia na mwanamke mmoja?

Hiyo sio tamaa ni kama nature yetu sisi wanaume.

Kwa wale ambao wameoa tayari wanajua ichi kitu kuwa hakuna mwanaume anaweza kuishi na mwanamke mmoja.

Na ukiona Ana mke mmoja huyo jua atakuwa na michepuko mpaka basi.
 
Ivi nafikiria kabisa kwa undani
Sheria ya kuoa mke mmoja kwetu sisi wakristo imetoka kwa Mungu au kwa wanadamu ?
Kama ni kwa Mungu je Mungu alishindwa kabisa kujua kuwa mwanaume hawezi kutulia na mwanamke mmoja ?
Iyo sio tamaa ni Kama nature yetu sisi wanaume
Kwa wale ambao wameoa tayari wanajua ichi kitu kuwa hakuna mwanaume anaweza kuishi na mwanamke mmoja
Na ukiona Ana mke mmoja uyo jua atakuwa na michepuko mpaka basi
Kikundi cha wanawake waliochoka kuona wenzao watafaidi
 
Ivi nafikiria kabisa kwa undani
Sheria ya kuoa mke mmoja kwetu sisi wakristo imetoka kwa Mungu au kwa wanadamu ?
Kama ni kwa Mungu je Mungu alishindwa kabisa kujua kuwa mwanaume hawezi kutulia na mwanamke mmoja ?
Iyo sio tamaa ni Kama nature yetu sisi wanaume
Kwa wale ambao wameoa tayari wanajua ichi kitu kuwa hakuna mwanaume anaweza kuishi na mwanamke mmoja
Na ukiona Ana mke mmoja uyo jua atakuwa na michepuko mpaka basi
Hiyo sheria haipo mahala popote. Wewe oa wanawake unaoweza.
 
Ivi nafikiria kabisa kwa undani
Sheria ya kuoa mke mmoja kwetu sisi wakristo imetoka kwa Mungu au kwa wanadamu ?
Kama ni kwa Mungu je Mungu alishindwa kabisa kujua kuwa mwanaume hawezi kutulia na mwanamke mmoja ?
Iyo sio tamaa ni Kama nature yetu sisi wanaume
Kwa wale ambao wameoa tayari wanajua ichi kitu kuwa hakuna mwanaume anaweza kuishi na mwanamke mmoja
Na ukiona Ana mke mmoja uyo jua atakuwa na michepuko mpaka basi
Utapeli wa Wazungu hamna kitu hapo
 
Hamia kwenye dini wanaoruhusu kuoa wake wengi tuache sisi kwenye dini inayotaka mke mmoja tu, tunavumilia hali hiyo na hakuna shida. Ukileta upumbavu wa kuoa wake wengi jisikie vizuri pia hao wake zako nao wawe na waume nje ili ngoma iwe droo. Fuata sheria bila shuruti
 

Mwanzo 1:27​

"Kwa hiyo Mungu akamuumba mtu kwa mfano wake mwenyewe, kwa mfano wa Mungu alimuumba; mwanaume na mwanamke aliwaumba."

Mwanzo 2:18-24​

"BWANA Mungu akasema, Si vema huyo mtu awe peke yake, nitamfanyia msaidizi wa kufanana naye.
BWANA Mungu akafanyiza kutoka katika ardhi kila mnyama wa msituni, na kila ndege wa angani, akamletea Adamu ili aone atawaitaje; kila kiumbe hai, jina alilokiita Adamu likawa ndilo jina lake.
Adamu akawapa majina yao kila mnyama wa kufugwa, na ndege wa angani, na kila mnyama wa mwituni; lakini hakuonekana wa kumsaidia Adamu aliyefanana naye.
BWANA Mungu akamletea Adamu usingizi mzito, naye akalala; kisha akatwaa ubavu wake mmoja, akafunika nyama mahali pake, na ule ubavu alioutwaa katika Adamu BWANA Mungu akaufanya mwanamke, akamleta kwa Adamu.
Adamu akasema, Sasa huyu ni mfupa katika mifupa yangu, na nyama katika nyama yangu, basi ataitwa mwanamke, kwa maana ametwaliwa katika mwanamume. Kwa hiyo mwanamume atamwacha baba yake na mama yake naye ataambatana na mkewe, nao watakuwa mwili mmoja."



1 Wakorakintho 7:2-6​

"Lakini kwa sababu ya zinaa kila mwanamume na awe na mke wake mwenyewe, na kila mwanamke na awe na mume wake mwenyewe.
Mume na ampe mkewe haki yake, na vivyo hivyo mke na ampe mumewe haki yake. Mke hana amri juu ya mwili wake, bali mumewe; vivyo hivyo mume hana amri juu ya mwili wake, bali mkewe.
Msinyimane isipokuwa mmepatana kwa muda, ili mpate faragha kwa kusali; mkajiane tena, Shetani asije akawajaribu kwa kutokuwa na kiasi kwenu.
Lakini nasema hayo, kwa kutoa idhini yangu, si kwa amri."
 
Huu mjadala haujawahi kuniacha salama 🤣🤣🤣
Leo nitaoga mapovu mpala basi!
Hakuna sehemu yoyote iliyokataza kuwa na wake wawili au kuhalalisha, ndio maana huwa wanatizama na matendo ya mitume. Na mitume wote walikuwa na wake zaidi ya wawili sasa kama lilikuwa chukizo kwa Mungu basi angewakata wote na hata baba ya dini zote Abraham alikuwa na wake zaidi ya mmoja mpaka Nabii Mussa na wengi tu lakini haijawahi kukatazwa. Tufuate maandishi sio opinion. Hata waislamu sio kwamba kwa kuwa unaruhusiwa kuowa basi unaenda tu. Ziko sababu nyingi sana lakini ni kawaida kuna watu wanachukua fusra kujifurahisha tu bila yakuwa na sababu za msingi kwanini unaongeza mke.

Unaweza kuwa na mke halafu akapata changamoto za kiafya kutoweza kukuhudumia kama mme unahaki ya kuowa, na hata mke kama mme kapata changamoto za afya hampi tendo la ndoa anaweza kudai talaka. Mke labda hazai na wewe unahitaji watoto badala ya kumuacha unaongeza mke. Kuna kumstiri mwanamke muhimu sababu 100 kidogo ila sio unaowa sababu tu tamaa zako na wanaofanya hivyo huwa hawafiki mbali. Sasa kwa ndoa moja, umeowa kwa bahati mke kapata changamoto za kiafya tuseme stroke hawezi kukupa hali za ndoa utafanyaje? uchepuke tu au bora kuowa kihalali same time unamuangalie mke wako mgonjwa.
 
Back
Top Bottom