Sheria tano za mchepuko salama

Sheria tano za mchepuko salama

mtzima

Member
Joined
Aug 1, 2013
Posts
41
Reaction score
13
nilipita maskani moja leo jioni (maskani ya vijana)nikakuta mada ya mchepuko salama kama ifuatavyo

  1. kuwa na namba ya simu ambayo wife/mume hataijua hii uitumie kuwasiliana na mchepuko
  2. nunua condom wakati ukienda gesti ucnunue siku kabla wife akiona ni msala,ht kama zipo gesti tumia ulizokuja nazo,
  3. kuwa na mchepuko ambae ni mrembo/handsome hata ukikamatwa nae huta juta,ili hata ukitembezwa uchi watu wakuonee wivu
  4. siku za kukutana na mchepuko kwenye mambo yetu hakikisha umekutana na mwenza wako japo cha kuchangamshia damu ili ukurudi ile sbbu ya nilikuwa bize leo jioni nimechoka sana ipate nguvu
  5. tembea na sabuni au kabla ya kuingia gesti hakikisha umenunua sabuni mnayotumia home hapa nafikiri sabuni za gesti wote mnazijua harufu yake,

Muhimu :Mchepuko sio dili,kuna sababu ya msingi ya wewe kukubali kuwa na mume /mke ulienae sasa,jaribu kumfanya mwenza wako rafiki ili ujisikie kuwa karibu nae kila wakati,mchepuko utapelekea matatizo katika ndoa yako na pia unaweza kukupelekea kupata UKIMWI
Kila unapopiga hatua kumfuata mchepuko kumbuka pia familia yako,watoto wanaokutegemea,jiulize pia ni kwa nini unataka kufanya hivyo na utapopata majibu yake yafanyie kazi
Usijipe moyo sana utatumia condom kwa sababu wengi hatujui matumizi sahihi ya hiyo kitu tena tunaitumiaga siku za mwanzo tu,

NB usizingatie hayo mazungumzo ya maskani
 
Loh aiseee yani unaenda kujichosha afu mashart kibao. Loh kazi ipo
 
dah mie nimependa hiyo ya mchepuko kuwa mzuri...maana ata wife akimuona mwenyewe moyoni anasema.kweli mume wangu alikuwa na haki ya kuchepuka
 
dah mie nimependa hiyo ya mchepuko kuwa mzuri...maana ata wife akimuona mwenyewe moyoni anasema.kweli mume wangu alikuwa na haki ya kuchepuka

Labda kwa mwanamke asiyejielewa thamani yake yeye binafsi ndo atashtuka na kuona mumewe alistahili kuchepuka.
 
:what:
 

Attachments

  • 1398764466696.jpg
    1398764466696.jpg
    27.9 KB · Views: 250
nilipita maskani moja leo jioni (maskani ya vijana)nikakuta mada ya mchepuko salama kama ifuatavyo

  1. kuwa na namba ya simu ambayo wife/mume hataijua hii uitumie kuwasiliana na mchepuko
  2. nunua condom wakati ukienda gesti ucnunue siku kabla wife akiona ni msala,ht kama zipo gesti tumia ulizokuja nazo,
  3. kuwa na mchepuko ambae ni mrembo/handsome hata ukikamatwa nae huta juta,ili hata ukitembezwa uchi watu wakuonee wivu
  4. siku za kukutana na mchepuko kwenye mambo yetu hakikisha umekutana na mwenza wako japo cha kuchangamshia damu ili ukurudi ile sbbu ya nilikuwa bize leo jioni nimechoka sana ipate nguvu
  5. tembea na sabuni au kabla ya kuingia gesti hakikisha umenunua sabuni mnayotumia home hapa nafikiri sabuni za gesti wote mnazijua harufu yake,

Muhimu :Mchepuko sio dili,kuna sababu ya msingi ya wewe kukubali kuwa na mume /mke ulienae sasa,jaribu kumfanya mwenza wako rafiki ili ujisikie kuwa karibu nae kila wakati,mchepuko utapelekea matatizo katika ndoa yako na pia unaweza kukupelekea kupata UKIMWI
Kila unapopiga hatua kumfuata mchepuko kumbuka pia familia yako,watoto wanaokutegemea,jiulize pia ni kwa nini unataka kufanya hivyo na utapopata majibu yake yafanyie kazi
Usijipe moyo sana utatumia condom kwa sababu wengi hatujui matumizi sahihi ya hiyo kitu tena tunaitumiaga siku za mwanzo tu,

NB usizingatie hayo mazungumzo ya maskani

Ama kweli kila kitu kina watalaam wake.
 
acha uzinzi....
mchepuko wa nini wakati una mke/mpenzi???
 
Sikubaliani na namba 4.

Siku zote njia kuu mara nyingi huwa ni lami, yenye kuvutia kupita (Mfano nyerere road, kawawa road, ali hassan mwinyi nk). Mchepuko mara nyingi huwa ni rough road, makorongo kibao,au inakatiza mtaani, nyembambaaaa (pita uswahilini utaziona).
Hivyo basi siku zote wewe na gari lako lililo chini utapendelea kupita Njia kuu ili usiharibu shockups. but sometimes utalazimika kupita mchepuko kukwepa foleni. but hakikisha ukipita uchukue tahadhari za kutosha.

SIKU ZOTE NJIA KUU INATAKIWA IWE NZURI KULIKO MCHEPUKO ILI KUEPUKA KUPENDA KUPITA MCHEPUKO ZAIDI YA NJIA KUU HADI KUFIKIA KUSAHAU NJIA KUU.
Note: EPUKA MICHEPUKO, BAKI NJIA KUU.
 
kuna game zingine zinakuja bila taarifa mkuu, halafu ukiangalia speed ya gari lililobeba mzigo wa genye ipo 180, utafanyaje, na kushika breki ya ghafla utasababisha ajali, kwahiyo inabidi ugonge halafu utajuta baadae.
 
Back
Top Bottom