Sheria na miongozo ya utumishi wa uma inasema nini kuhusu mshahara wa mwajiliwa akiwa masomoni?

Human

Member
Jun 30, 2012
9
3
Wadau hivi sheria au miongozo ya wizara ya utumishi inasema nini kuhusu mshahara wa mwajiliwa wa serikali pindi akipewa ruhusa na mwajili wake ili ahudhurie mafunzo ya muda mrefu shuleni?Je hana haki ya kupata mshahara wake?kama anapata je ni full salary au asilimia fulani tu ya full salary yake?
msaada jamani tafadhali.
 
soma Standing ORDERS:http://www.google.co.tz/url?sa=t&rct=j&q=&esrc=s&source=web&cd=1&cad=rja&ved=0CB8QFjAA&url=http%3A%2F%2Fwww.ajira.go.tz%2Findex.php%3Foption%3Dcom_docman%26task%3Ddoc_download%26gid%3D3%26Itemid%3D83&ei=O0BbUIzQAcaP4gSlqICoAg&usg=AFQjCNGMq6dBJH-

kifupi mtumishi akiwa masomoni kwa ridhaa ya Mwajiri, anaendelea kuwa bado kazini hiovyo anastahili kulipwa mshahara waske wote kama anafanya kazi mkuu.

Angalia Section G .7 za Hizo orders zinasomeka:

study leave: a public servant selected to attend an in-service course shall be granted:
(i) in the case of higher education, which is in the Staff Development programme of the employer, leave with pay;
(ii) in the case of higher education which is not in the staff development Programme of the employer, leave without pay provided that he has completed two years in the service;


(iii) in the case of other courses, other than of higher education the public servant shall be given a special leave of absence with pay; and


(iv) subject to sub paragraph (i) and (ii), the public servant‟s normal leave entitlement for one annual leave cycle shall be regarded as having been utilized in respect of each complete year of absence. Where the public servant‟s absence from duty attending the course is less than twelve months, the special study leave shall not count in any way against his normal leave entitlement;


(c) salary: the public servant‟s salary will continue to be paid by his own Ministry throughout the officer‟s absence from duty to attend the course.


(d) a public servant attending an in-service course shall not be eligible for ordinary annual increments during the period of absence
 
Kama amepata Study leave yaani kapewa ruhusa anatakiwa kulipwa mshahara wote
 
Back
Top Bottom