Next Monday utaona uchumi wa Tanzania .Sasa Hivi hizi sanction zitamaliza africaWabongo bana! Mmarekani akitamka kwamba huyu mbaya basi na wabongo nao wanaaminishwa ni mbaya! Kwani Putin ashawahi kufanya kibaya kipi kwa mwafrika au mbongo hadi aitwe Hitler? Ni Hitler kwa Marekani na Ukraine si kwa kila mtu.