wakumwamasaga
JF-Expert Member
- Dec 24, 2014
- 246
- 71
kama kweli kuna huo mswaada na ukipelekwa bungeni naamini utapita tu kwa vyovyote vile, maana mambo mengi bungeni huamliwa kwa kura ya ndiyo, na miswaada kandamizi na ya kipuuzi kama hii wabunge wa CCM huwa wamepewa somo na kujipanga kuipitisha kwa manufaa ya serikali yao na wao wenyewe bila kuangalia wananchi wataathirika vipi na huo muswaada. Pia sie wafanyakazi wa Tanzania wa serikali au private sectors hatuna ushirikiano wa kuweza kupinga huu mswaada kama utapitishwa, tutabaki kulalamika tu huku pembeni bila kuchukua hatua sahihi kuonyesha kutuokubiana na hii dhuluma.