Sheria mpya ya mifuko ya hifadhi ya jamii,Wafanyakazi wa umma na wasio wa umma kufa masikini

very good, go go ccm goooooo, i say just go chama kubwa chama nene, ccm ni nambari one tena ckvu, endelezeni mbinyo huo huo hadi watanzania wapate akili waache kuchagu ccm
 
Wamepima upepo wamesitisha mpango wao huo haramu.Hii wangeipeleka UKAWA wasingehitaji kupiga kampeni yoyote ili washinde uchaguzi mkuu. Alisitisha Pinda mwaka Jana akiwa kwenye maazimisho ya siku ya mwalimu duniani Bukoba.
 
Cha kufurahisha zaidi ni kwamba watakaoiua CCM sio UKAWA bali watatoka ndani humohumo.
Kuna vitu vingine vinashauriwa aidha na Watendaji walioko serikalini au CCM mpaka unajiuliza hivi huyu anayepeleka miswada hii kupitishwa bungeni alitumia kichwa kufikiri kweli!
UKAWA jiandaeni kuchukua nchi kiulaini bila hata kutumia jasho la damu, wanapoona wananchi wamekaa kimya wasidhani watakaa hivyo milele. Kufumba na kufumbua watakuta nchi imetoka mikononi mwao na aliyewanyang'anya yumo ndani yao anacheka cheka tu....
 
Mleta hoja naomba urudi kwa aliekutuma mwambie akupe taarifa sahihi lkn icho unachofanya ni kupotosha umma wa watanzania!!!
Kuhusu suala la kupeleka muswada wa sheria mpya ya mafao bungeni sio kweli kabisa nimekomfirm na vyanzo sahihi wamenithibitishia hilo, lakini kwa kukusaidia tu serikasli haikulupuki kupeleka miswaada bungeni , ili kufanya ivyo inawashirikisha wadau wote
Kuhusu kanuni mpya, hizi zilitolewa mwaka jana na kuanza kazi julai 1st. na zilitolewa na kuidhinishwa na wadau wote wa sekta ya Hifadhi ya Jamii, ambapo vikao vilifanyika, walialikwa kwenye vikao na kutoa maoni yao kabla ya kanuni hizi hazijatolewa.
na Fomula hiyo ipo ivi: 1/580 ya mafao kujumuisha na miezi ya mwanachama aliyochangia kujumuisha na annual penshanable emoluments zidisha na miezi 12.5 zidisha na asilimia 25. hivyo hiyo lugha ya 1/4 ya mafao ni upotoshaji wa makusudi kabisa
 
Mleta hoja naomba urudi kwa aliekutuma mwambie akupe taarifa sahihi lkn icho unachofanya ni kupotosha umma wa watanzania!!!
Kuhusu suala la kupeleka muswada wa sheria mpya ya mafao bungeni sio kweli kabisa nimekomfirm na vyanzo sahihi wamenithibitishia hilo, lakini kwa kukusaidia tu serikasli haikulupuki kupeleka miswaada bungeni , ili kufanya ivyo inawashirikisha wadau wote
Kuhusu kanuni mpya, hizi zilitolewa mwaka jana na kuanza kazi julai 1st. na zilitolewa na kuidhinishwa na wadau wote wa sekta ya Hifadhi ya Jamii, ambapo vikao vilifanyika, walialikwa kwenye vikao na kutoa maoni yao kabla ya kanuni hizi hazijatolewa.
na Fomula hiyo ipo ivi: 1/580 ya mafao kujumuisha na miezi ya mwanachama aliyochangia kujumuisha na annual penshanable emoluments zidisha na miezi 12.5 zidisha na asilimia 25. hivyo hiyo lugha ya 1/4 ya mafao ni upotoshaji wa makusudi kabisa

Mkuu hebu nipigie mahesabu mimi mlalahoi mwenye basic ya milioni 2 nikistaafu leo nitapata kiasi gani?
 
Mimi binafsi hapa nilipo nina miaka 45, hivyo hata hiyo 60 sitegemei kufikia.


Inatakiwa nikiacha leo kazi nipewe changu chote kwani nilichanga mwenyewe na siyo fadhira ya mifuko ya Jamii au Serikali.
Wanip changu nikafe nacho mwenyewe nitajua nafanyia nini na siyo kunipangia kama mtoto mdogo.

Pambafu zaoooooooo wamechota pesa sasa wanatafuta jinsi ya kuzirudisha.

Wakome kabisa na mawazo yao duni.

Wabunge ni wawakilishi wa wananchi na siyo wawakilishi wa wafanyakazi waelewe hilo.

Wafanyakaz tunatambua TUCTA na siyo wabunge. Kule bungeni wanatengeneza sheria lakini inatakiwa ni baada ya kukubaliana na wafanyakazi na siyo kuwaburuza.


MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
 
Serikali ya Tanzania imekusudia kupeleka muswada bungeni utakaoleta utaratibu mpya wa jinsi ya kulipa mafao kwa wastaafu wote walio jiunga na mifuko ya hifadhi ya jamii,kupitia sheria hiyo ambayo serikali inataka itumike kulipa mafao ya wastaafu itakuwa hivi.

Kila mstaafu wa umma au binafsi atapewa robo ya kile anachotakiwa kupewa baada ya kustaafu kazi, yaani kama anatakiwa apewe millioni 100 basi yeye atapewa million 25,halafu baada ya malipo hayo kufanyika ni kwamba mstaafu atakuwa anapewa kila mwezi nusu ya basic salary yake aliyokuwa anapata kabla ya yeye kustaafu,malipo hayo atakayo kuwa anapata mstaafu yatakoma pindi tu atakapo fariki.

Ikumbukwe kwamba kujiunga na mfuko wa hifadhi ya jamii ni lazima kwa mwajiriwa yoyote na umri wa kustaafu kwa mujibu wa sheria ni miaka 60.

Msimamo wa vyama vya wafanyakazi:

Vyama vya wafanyakazi vimepinga muswada unaotaka kupelekwa bungeni na serikari, mara zote tatu vyama vya wafanyakazi walipo kutana na wawakilishi wa serikali huko mbeya,dodoma na hata mara ya mwisho arusha walipokutana hasira zilijitokeza kupinga jambo hilo kwani ni unyonyaji uliokithili unaotakiwa kuletwa,kwa mujibu wa mnyetishaji wangu mkutano wa mwisho kati ya wawakilishi wa serikali na vyama vya wafanyakazi unatarajiwa kufanyika Dar kabla ya bunge kuanza mwishoni mwa mwezi huu,ili ikiwezekana muswada huo upelekwe kujadiliwa na wabunge wa wakilishi wa wananchi.

Inasemekana kwanba muswada huu wa sheria ulitakiwa kupelekwa bungeni tangu mwezi Novemba ktk bunge lililopita,ilishindikana kutoka na suala la escrow kuchukua muda mwingi zaidi.

Wachache wafanyakazi nilio sikia maoni yao wamesikitika na wanaona kama sheria hiyo ikipita basi waajiriwa wengi watakufa maskini kwani mtu wa miaka 60 kwa Tanzania anakuwa na muda mchache sana wa kuishi,ukizigatia wengi wao wanategemea pesa za kustaafu ili wajenge nyumba nzuri na kuanzisha vitega uchumi tofauti...!!

NB: Serikali imeikopa sana mifuko hii ya hifadhi ya jamii kiasi kwamba inashindwa kujiendesha vizuri,hivyo inatafuta namna ya kuiokoa na balaa la kufilisika.Chuo kikuu cha Dodoma ni fedha za mifuko hii hadi leo bado hazijarudi!

Rushwa, ufisadi, wizi Bongo hautakwisha kwa style hii kwa sababu waliowengi wataiba mapema kuhakikisha hiyo pesa itakayopotea mbeleni wanaichukua mapema ili wasipate shida uzeeni. Na ukiangalia kila mtu anataka maisha ya uzeeni yasiwe na shida wala kutegemea watoto na ndugu. Sera nyingine hizi zinazaa matatizo mengine na kushindwa kuelewa kama watunga sera wameelimika kweli au ndio kugeuzwa masikini wa kufikiri na wanasiasa!
 
Mleta hoja naomba urudi kwa aliekutuma mwambie akupe taarifa sahihi lkn icho unachofanya ni kupotosha umma wa watanzania!!!
Kuhusu suala la kupeleka muswada wa sheria mpya ya mafao bungeni sio kweli kabisa nimekomfirm na vyanzo sahihi wamenithibitishia hilo, lakini kwa kukusaidia tu serikasli haikulupuki kupeleka miswaada bungeni , ili kufanya ivyo inawashirikisha wadau wote
Kuhusu kanuni mpya, hizi zilitolewa mwaka jana na kuanza kazi julai 1st. na zilitolewa na kuidhinishwa na wadau wote wa sekta ya Hifadhi ya Jamii, ambapo vikao vilifanyika, walialikwa kwenye vikao na kutoa maoni yao kabla ya kanuni hizi hazijatolewa.
na Fomula hiyo ipo ivi: 1/580 ya mafao kujumuisha na miezi ya mwanachama aliyochangia kujumuisha na annual penshanable emoluments zidisha na miezi 12.5 zidisha na asilimia 25. hivyo hiyo lugha ya 1/4 ya mafao ni upotoshaji wa makusudi kabisa

Sawa kama vyanzo vyako ndio vimekwambia hivyo,mbona hawaja kueleza ni jinsi gani pesa zilizochukuliwa kutoka katika mifuko hii ya hifadhi ya jamii zitarudishwa? Hadi leo pesa kibao zilitumika kujenga UDOM kutoka mifuko tofauti ya hifadhi ya jamii na sasa hivi pia daraja la kigamboni linajengwa na fedha hiz,ktk ukaguzi uliofanywa na CAG alionyesha ni jinsi gani itasumbua kurudisha fedha zilizojenga udom kutokana na kutokuwa na mkataba wenye kueleza namna fedha zitakavyorudi,naomba ukaulize na hilo pia..!!
Pia nakushauri jitahid kupitia ile sheria iliyopitishwa miaka miwili iliyopita ambapo ilikuwa inazuia mtu kuchukua mafao yake hadi pale atakapo timiza umri wa miaka 55,hii ilipitishwa kinyemela tena bila kelele za wabunge,na kusababisha wafanyakazi wa migodini wagome na kuandamana kwani wao hawawezi kufanyakazi hadi kufikia umri huo wa miaka55 wakiwa kazini, ndipo wakaona aibu na kuitoa hiyo sheria,kama utakaa na kutafakari hayo ndio utagundua ni jinsi gani pesa za mifuko ya hifadhi ya jamii zinatakiwa na serikari kwa mambo tofauti lakini sio kwa kutunufaisha sisi wafanyakazi wake....!! Ya kuambiwa changanya na yako...!! PSPF mfuko wa serikali mbona unakataa kumpa mfanyakazi mkopo wa nyumba eti hadi angalau afikishe umri wa miaka 50,mkopo wa elimu tu hawataki kutoa kwa mfanyakazi anayetaka kujiendeleza wakati ni jasho lake..!! Ila wao serikali wakizitaka fedha za mifuko hii wanachukua kiulaini tu..!!
Kama wamepima upepo ndio maana wamekupa majibu hayo!!!
 
Sawa kama vyanzo vyako ndio vimekwambia hivyo,mbona hawaja kueleza ni jinsi gani pesa zilizochukuliwa kutoka katika mifuko hii ya hifadhi ya jamii zitarudishwa? Hadi leo pesa kibao zilitumika kujenga UDOM kutoka mifuko tofauti ya hifadhi ya jamii na sasa hivi pia daraja la kigamboni linajengwa na fedha hiz,ktk ukaguzi uliofanywa na CAG alionyesha ni jinsi gani itasumbua kurudisha fedha zilizojenga udom kutokana na kutokuwa na mkataba wenye kueleza namna fedha zitakavyorudi,naomba ukaulize na hilo pia..!!
Pia nakushauri jitahid kupitia ile sheria iliyopitishwa miaka miwili iliyopita ambapo ilikuwa inazuia mtu kuchukua mafao yake hadi pale atakapo timiza umri wa miaka 55,hii ilipitishwa kinyemela tena bila kelele za wabunge,na kusababisha wafanyakazi wa migodini wagome na kuandamana kwani wao hawawezi kufanyakazi hadi kufikia umri huo wa miaka55 wakiwa kazini, ndipo wakaona aibu na kuitoa hiyo sheria,kama utakaa na kutafakari hayo ndio utagundua ni jinsi gani pesa za mifuko ya hifadhi ya jamii zinatakiwa na serikari kwa mambo tofauti lakini sio kwa kutunufaisha sisi wafanyakazi wake....!! Ya kuambiwa changanya na yako...!! PSPF mfuko wa serikali mbona unakataa kumpa mfanyakazi mkopo wa nyumba eti hadi angalau afikishe umri wa miaka 50,mkopo wa elimu tu hawataki kutoa kwa mfanyakazi anayetaka kujiendeleza wakati ni jasho lake..!! Ila wao serikali wakizitaka fedha za mifuko hii wanachukua kiulaini tu..!!
Kama wamepima upepo ndio maana wamekupa majibu hayo!!!

Mkuu, Kumbuka dhana ya Hifadhi ya jamii ni mfumo wenye lengo la kujikinga na majanga mbalimbali, kama vile maradhi, ulemavu, kifo, kustaafu ama kupoteza uwezo wa kufanya kazi kwa njia yoyote na siyo short term investment..kama ukusomeshawatoto, ukujenga nyumba,au kufanya maendeleo mengine ya msingi leo hii ukipewa million 100 na ukapewa gurantee ya kuishi miaka 15 mbele wengi wetu tungeishiwa within 3 to 5 years

Kuhusu kukopa mifuko izo ni siasa tu kaka, wachumi kote duniani wamethibisha ya kwamba uwekezaji salama ni katika amana za serikali na hati fungani kwahiyo si kweli eti serikali wamekopa na wameshindwa kulipa

Cha msingi watanzania tunatakiwa kubadili mindsets zetu kutoka kutegemea mafao ya uzeeni kuendeshea maisha na badala yake tujijnge toka day one kukabiliana na Uzee
 
Nilibahatika kusoma mfumo huu mpya wa kucalculate mafao.. Asehhh ni noma sana bonge la panga.... Yan aliyestahili kiinua mgongo cha milion 120 ataamblulia milion 30 Kama sheria mpya ikipita

ahahahahaha wafanyakaz wakichemka hili.. Bas kwisha habari yao... Na mbunge atakayetetea muswada huu basi ni yule aliyeuchoka ubunge wake....

Yani mswaada huu ukipita ntaamini tanzania ni taifa la mazuzu zaid duniani. Cjawah ckia upuuz km huu, hawa viongozi wapuuz wa ccm cjui huwa wana nn vichwani, hawana uwezo wa kufikir kabisa.
 
Hili suala si la ccm wala wapinzani, watanzania wote itatupasa kuungana kupinga huu udhalimu.
 
Ndugu yangu iMind unataka fomula gani tena wakati mtoa hoja ameshasema cho chote utakachostahili hutapewa chote ila utapewa asilimia 25 tu na kingine utaendelea kupewa kila mwezi hadi utakapokufa - yaani hata ukifa siku ya pili baada ya kupewa ile asilimia 25 ya stahili yako unakuwa umeshapoteza ile asilimia 75 iliyobaki. Sasa tuanze kujadili kuanzia hapa ndugu zangu.
Upole wetu watanzanaia utatufikisha kubaya, tuseme basi kwa dhuluma hii kutoka serikali yetu tuliyoihudumia kwa umri wetu wote tukilipa kodi pasipo kodi hiyo kuturudia na sasa wameona haitoshi wanataka kutudhulumu hata hiki tulichowekeza kwa maisha yetu ya uzeeni.Binafsi nasema yatosha, nangoja nidhulumiwe halafu nitajua cha kufanya - dunia itashangaa.
 
Hakika sheria hii itapita na hamfanyi kitu..kwani sisi tumeanza kuwaona leo...makele mengi hamna lolote.


Na mgekuwa na akili mgebadili serikali sio kuishia kulalama na kutushauri ..hatumsikilizi mtu
 
Back
Top Bottom