Sheria mpya ya madini iwe 51% serikali na 49% mwekezaji.. Full stop

Sheria mpyaaaa zinasemaje kuhusu SHARES..? Plse notify me
 
Serikali haina hela ya kuchangia hiyo 51% shares. Hizo shares alizokuwa amepewa mwanzo aliziuza kwa sababu alikuwa hana uwezo wa kuchangia gharama za uendeshaji.

Tuongeze tu mrabaha na tufuatilia kujua kiasi halisi kinachopatikana na kuuzwa ili hatimaye tupate kodi stahiki.

Ila twaweza pia ku-retain ownership ya warau 15%.

Kama fikra zako ndio hivyo HAKUNA DILI"
Mtaani tunasema "wacha kioze"
 
mkisoma sheria mwekezaji anabaki na 20%, serikali 50% public 30%

Sent from my TECNO L9 Plus using JamiiForums mobile app
 
Habari JF..

Shikamoo Mh. Rais wangu wa moyoni JPM, Ubarikiwe always

Ushauri wangu mkubwa leo kwa Mh. Rais, with all my IQ looking ins & outs za Madini na Gas yetu ni..

1: Serikali 51%... Shares

2: Investors 49% .... Shares

Hapo tutakuwa na win - win situation, na serikali ikiwa na 51% shares ndio mmiliki mkubwa hivyo Ana maamuzi ya mwisho ktk Madini na Gas yetu.. Na sbb madini ni yetu ni lazima tuwe na 51% of shares tuna kila sbb ya kuwa na 51% shares.. So baada ya gharama za uzalishaji kutolewa, Serikali inachukua 51% shares zake na Investors wanachukua 49% shares zake.. Full stop...

Mambo sijui ya mrabaha, sijui huduma kwa jamii, sijui nini na nini ni kufuta zote.. Hazina maana, ni uwizi tu..

Serikali ikipata 51% shares zake itahudumia wananchi wake kwa kila kitu.. Sbb hapo sasa ni win-win situation.. Hakuna kuibiwa tena.. Sheria zingine za kiuwizi tupa kuleeee.. Botswana walifanya hivyo nadhani wamefanikiwa mnooooooo, hadi wanakopesha IMF, imagine..

Huu ni ushauri mkubwaaaa sanaaaa sanaaaa

Asante sana Mh. Rais wetu wa kipekee.. Tuokoe baba JPM

Stay blessed always..

View attachment 525813
View attachment 525812
Maccm mungu amewanyima akili, serikali ipate shares 51% kwa lipi? Huyo mjinga gani atakuja kuwekeza ili kunufaisha wavivu?,

ushawahi Fanya biasjara wewe?

Badili sheria ya aridhi kwanza ili tumiliki aridhi, then sisi wazawa wenye aridhi na mitaji tutachukua leseni, alafu tuta ingia ubia na wawekezaji, serikali haifanyi biashashara dogo,

Umeandika kwa mbwembwe kama vile una akili kumbe jinga jinga tu. Serikali haisaini mikataba ya madini. Labda kwa MDAs, ambazo sheria ya aridhi ikibadilishwa hata Hiyo MDAs haitakutumika tena
 
Njoo usome ulichoandika
Utafifiti ulifanywa na serikali ya Uingereza enzi za ukoloni wa Tanganyika. Ilifanyika tena na serikali ya Tanzania enzi za Mwalimu Nyerere. Kampuni toka Sweden ikaomba kuyachimba kwa ubia na serikali wa 49% share ya serikali na 51% share za kampuni ya Sweden. Nyerere alikataa, alitaka serikali ndiyo iwe na 51% shares. Akawatimua hao wa Swedish. Akasema madini hayaozi, yaendelee kukaa huko chini hadi serikali itakapopata uwezo wa kuyachimba yenyewe hata kama uwezo huo utachukua miaka 100 kupatikana.
 
Habari JF..

Shikamoo Mh. Rais wangu wa moyoni JPM, Ubarikiwe always

Ushauri wangu mkubwa leo kwa Mh. Rais, with all my IQ looking ins & outs za Madini na Gas yetu ni..

1: Serikali 51%... Shares

2: Investors 49% .... Shares

Hapo tutakuwa na win - win situation, na serikali ikiwa na 51% shares ndio mmiliki mkubwa hivyo Ana maamuzi ya mwisho ktk Madini na Gas yetu.. Na sbb madini ni yetu ni lazima tuwe na 51% of shares tuna kila sbb ya kuwa na 51% shares.. So baada ya gharama za uzalishaji kutolewa, Serikali inachukua 51% shares zake na Investors wanachukua 49% shares zake.. Full stop...

Mambo sijui ya mrabaha, sijui huduma kwa jamii, sijui nini na nini ni kufuta zote.. Hazina maana, ni uwizi tu..

Serikali ikipata 51% shares zake itahudumia wananchi wake kwa kila kitu.. Sbb hapo sasa ni win-win situation.. Hakuna kuibiwa tena.. Sheria zingine za kiuwizi tupa kuleeee.. Botswana walifanya hivyo nadhani wamefanikiwa mnooooooo, hadi wanakopesha IMF, imagine..

Huu ni ushauri mkubwaaaa sanaaaa sanaaaa

Asante sana Mh. Rais wetu wa kipekee.. Tuokoe baba JPM

Stay blessed always..

View attachment 525813
View attachment 525812
51% will require the capital injection equivalent to that amount. Hilo likiwezekana, why not
 
Sasa serikali yenyewe haina hata uwezi wa kununua machine au hata gurudumu la magari yale yanayobeba michanga migodini nani aje alete fedha zake na wataalamu halafu akukabidhi 51% shares inapasws ieleweke kwamba biashara ni biashara ..
 
nasikia mwanasheria anapitia upya mikataba,si ajabu serikali ikachukua 70% na mwekezaji abaki na 30%,tumeibiwa sana,sasa imetosha
 
Tatizo sio kuweka ni wawekezaji kuja kuanzia Magufuli aingie hakuna mwekezaji hata mmoja mkubwa wa madini kaja maana hawajui kama sheria zitabadilika tena kesho
 
Back
Top Bottom