Sheria mifuko ya jamii

madeinmusoma

JF-Expert Member
Jan 7, 2014
320
382
Sheria ya Usimamizi na Udhibiti wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii (2008), inaelekeza kuwa, ni kosa na ni kinyume cha Sheria kwa mfuko wowote wa Pensheni kuandikisha wanachama waliokwisha andikishwa na mfuko mwingine.

Sheria inaelekeza pia Mfanyakazi ambaye hajawahi kujiunga na mfuko wowote wa Pensheni au anayeajiriwa kwa mara ya kwanza anao uhuru wa kuchagua mfuko wowote Kati ya mifuko ya pensheni iliopo.

Hivyo Mfanyakazi anapaswa kuwa mwanachama wa mfuko mmoja tu wa Pensheni.

 
Nakazia Sheria ya Shirika la Taifa la ya Hifadhi ya jamii sura ya 50 marejeo ya mwaka 2018 ni kosa kutoa taarifa za uwongo au zisizo sahihi kwa lengo la kujipatia mafao au kusababisha mtu mwingine kupata mafao.

Adhabu: milioni kumi au jela miaka 2
 
Back
Top Bottom