Sheria kama hii Watanzania tutaiweza

Tabutupu

JF-Expert Member
Nov 26, 2010
13,111
18,327
Hii picha ni Ujeruman, Kukiwa na foleni madereva wanatakiwa kuacha njia katikati kwa kila mmoja kubana pembeni kabisa ili kupisha magari ya dharura kama ya ambulance etc. Hii ni sheria.

Kitu kizuri hawa jamaa wanaheshimu na hakuna anaye vunja hiyo sheria. Bongo itakuwaje ikiwepo sheria kama hii.?
 
Nji za wenzetu raha sana

Usiseme tz sema Africa tutaweza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…