Naomba msaada wa kueleweshwa: siasa vyuoni inakatazwa na sheria gani?
Inakataza to what extent (inakataza nini hasa)?
Na haki ya kiraia ya kushiriki kwenye siasa kwa wanavyuo wanaipata vipi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.