sheria inasemaje kuhusu wafanyakazi wa ardhi wanaojipimia ardhi kinyume cha sheria?

Rich Dad

JF-Expert Member
Dec 15, 2010
748
133
Sisemi kwamba mfanyakazi wa ardhi hatakiwi kumiliki ardhi. Ninazunumzia tabia ya baadhi yao kujimilikisha ardhi kinyume na taratibu kutokana na kwamba wao wanakuwa na advantage ya kupata information sahihi mapema zaidi juu ya miradi mbalimbali.
Na kinachofanyika ni wao kuwahi eneo husika mapema zaidi, na kuwashawishi wananchi wawauzie ardhi kwa bei sawa na bure ( at a give away price). Baada ya hapo vikipimwa wanauza kwa bei ya juu sana. Na utakuta kuna mtu mmoja anamiliki viwanja hata zaidi ya ishirini.
Je, sheria inasemaje?
 
Nenda katoe maoni kwenye Katiba Mpya. We unadhani wao wawe wapangaji tu hadi lini? Mimi sio mfanyakazi wa ardhi lakini ebu angalia twiga anauzwa mzimamzima (sijui aliingiaje kwenye ndege), madini yanasafirishwa ndani ya mchanga, fedha zinaibwa na zimefichwa nje halafu wanasema 'mwenyewe' hajulikani, n.k wewe unazungumzia habari ya kiwanja labda tena cha kimara, mbezi luis, pugu, mbagala au kongowe. Fikiria zaidi!!!!! Na hivyo vya Kariakoo, city centre, upanga, mikocheni, oysterbay, masaki, Jangwani beach n.k. ni vya wafanyakazi wa ardhi?
 
Sisemi kwamba mfanyakazi wa ardhi hatakiwi kumiliki ardhi. Ninazunumzia tabia ya baadhi yao kujimilikisha ardhi kinyume na taratibu kutokana na kwamba wao wanakuwa na advantage ya kupata information sahihi mapema zaidi juu ya miradi mbalimbali.
Na kinachofanyika ni wao kuwahi eneo husika mapema zaidi, na kuwashawishi wananchi wawauzie ardhi kwa bei sawa na bure ( at a give away price). Baada ya hapo vikipimwa wanauza kwa bei ya juu sana. Na utakuta kuna mtu mmoja anamiliki viwanja hata zaidi ya ishirini.
Je, sheria inasemaje?

Hivyooeeeeee!!

Aisee i need a friend anayefanya kazi Ardhi mara hii hii.....:glasses-nerdy:
 
Back
Top Bottom