Tathmini ya maeneo ya Kata ya Nyatwali, Wilaya ya Bunda ilifanyika mwezi Januari, 2023 na wananchi kuahidiwa kuwa watalipwa siyo zaidi ya mwezi. Mpaka sasa malipo hayajafanyika licha ya ufuatiliaji wa muda mrefu.
Wananchi walizuiwa kulima kitu chochote katika maeneo hayo wakiahidiwa kuwa malipo yatatoka haraka na waweze kuhama. Kutokana na sheria ya Ardhi Na. 5 ya mwaka 1999 inasemaje kama muda wa miezi sita ukipita bila malipo.
Je, kuna utaratibu wa kupitia tena stahiki za wananchi ili mahesabu yapitiwe upya? Je, wananchi wana haki ya kwenda Mahakamani kudai haki zao?
Wananchi walizuiwa kulima kitu chochote katika maeneo hayo wakiahidiwa kuwa malipo yatatoka haraka na waweze kuhama. Kutokana na sheria ya Ardhi Na. 5 ya mwaka 1999 inasemaje kama muda wa miezi sita ukipita bila malipo.
Je, kuna utaratibu wa kupitia tena stahiki za wananchi ili mahesabu yapitiwe upya? Je, wananchi wana haki ya kwenda Mahakamani kudai haki zao?