Sheria za Umiliki wa ardhi kwa wageni zina utata, Arusha wazungu wanamiliki Ardhi

BLACK MOVEMENT

JF-Expert Member
Mar 11, 2020
2,712
6,515
Kwa Arusha naamini hii sheria haifanyi kazi, labda maeneo mengine, Arusha Wazungu wanamiliki Ardhi, elewa wanamiliki sio wanakodisha, wanamiliki na wanaiendeleza, sizungumzii wawekezaji nazungumzia watu wa kawaida ambao wengine unakuta wana mishe zingine tu.

Arusha, kuna eneo mfano linaitwa Doli liko chini ya USA River, hili eneo kuna wazungu wamejaa pale, wengi wamenunua ardhi kwa kuuziwa na wazungu wenzao tena kwa bei ya kutisha kabisa, kuna Wazungu pale wanamiliki ardhi na wanaendesha real estate kabisa wanauziana kwa Dolla, eneo la 50x50 unauziwa kwa Dola 150,000 hadi 200,000. Pale hakuna Ngozi nyeusi anaweza nunua ardhi pale kwa ile bei ya kutisha. Sasa jiulize wamewezaje kuendesha biashara za reali estate pale? Sheria najua haziruhusu ila wao wanafanya fanyaje? Ni maswali magumu sana haya.

Sio Doli tu kuna maeneo mengi Arusha wazungu wanamilik na wanacho kifanya wakitaka kuondoka au wakioana hawana pesa wanauzia Wazungu wenzao make kwa bei ile hakuna mbongo anaweza.

Au ananunua anaiendeleza anapanda miti na baadae anauzia wazungu wenzake yeye anasepa au anaenda kununua kwingine na wapo ambao biashara yao kwa Arusha ni ya real estate hawana kazi nyingine. Akiuza kiwanja kimoja ana pesa ya kula miaka hata mitano.
 
Hakuna kitu kinaitwa bei yakutisha, wanastahili kumiliki hiyo ardhi kama wewe hutawek jitihada zako katika kupambana

Working hard, grinding whatever and own that land...

Nafikiri kununua jirani na hao weupe tubadilishane ideas & experience...
 
Kwa Arusha naamini hii sheria haifanyi kazi, labda maeneo mengine, Arusha Wazungu wanamiliki Ardhi, elewa wanamiliki sio wanakodisha, wanamiliki na wanaiendeleza, sizungumzii wawekezaji nazungumzia watu wa kawaida ambao wengine unakuta wana mishe zingine tu.

Arusha, kuna eneo mfano linaitwa Doli liko chini ya USA River, hili eneo kuna wazungu wamejaa pale, wengi wamenunua ardhi kwa kuuziwa na wazungu wenzao tena kwa bei ya kutisha kabisa, kuna Wazungu pale wanamiliki ardhi na wanaendesha real estate kabisa wanauziana kwa Dolla, eneo la 50x50 unauziwa kwa Dola 150,000 hadi 200,000. Pale hakuna Ngozi nyeusi anaweza nunua ardhi pale kwa ile bei ya kutisha. Sasa jiulize wamewezaje kuendesha biashara za reali estate pale? Sheria najua haziruhusu ila wao wanafanya fanyaje? Ni maswali magumu sana haya.

Sio Doli tu kuna maeneo mengi Arusha wazungu wanamilik na wanacho kifanya wakitaka kuondoka au wakioana hawana pesa wanauzia Wazungu wenzao make kwa bei ile hakuna mbongo anaweza.

Au ananunua anaiendeleza anapanda miti na baadae anauzia wazungu wenzake yeye anasepa au anaenda kununua kwingine na wapo ambao biashara yao kwa Arusha ni ya real estate hawana kazi nyingine. Akiuza kiwanja kimoja ana pesa ya kula miaka hata mitano.
Kwa samia wagen wanafaidi sana siku wakinyanganywa watakimbilia International courts kuwa wamewekeza dollar 240ml kwa hiyo tutawqfidia halafu watakuja kusingiazia ni magufulia alivunja
 
Kwa Arusha naamini hii sheria haifanyi kazi, labda maeneo mengine, Arusha Wazungu wanamiliki Ardhi, elewa wanamiliki sio wanakodisha, wanamiliki na wanaiendeleza, sizungumzii wawekezaji nazungumzia watu wa kawaida ambao wengine unakuta wana mishe zingine tu.

Arusha, kuna eneo mfano linaitwa Doli liko chini ya USA River, hili eneo kuna wazungu wamejaa pale, wengi wamenunua ardhi kwa kuuziwa na wazungu wenzao tena kwa bei ya kutisha kabisa, kuna Wazungu pale wanamiliki ardhi na wanaendesha real estate kabisa wanauziana kwa Dolla, eneo la 50x50 unauziwa kwa Dola 150,000 hadi 200,000. Pale hakuna Ngozi nyeusi anaweza nunua ardhi pale kwa ile bei ya kutisha. Sasa jiulize wamewezaje kuendesha biashara za reali estate pale? Sheria najua haziruhusu ila wao wanafanya fanyaje? Ni maswali magumu sana haya.

Sio Doli tu kuna maeneo mengi Arusha wazungu wanamilik na wanacho kifanya wakitaka kuondoka au wakioana hawana pesa wanauzia Wazungu wenzao make kwa bei ile hakuna mbongo anaweza.

Au ananunua anaiendeleza anapanda miti na baadae anauzia wazungu wenzake yeye anasepa au anaenda kununua kwingine na wapo ambao biashara yao kwa Arusha ni ya real estate hawana kazi nyingine. Akiuza kiwanja kimoja ana pesa ya kula miaka hata mitano.


Sheria ipo kama wanalima kuna tatizo gani. Maeneo yapo mengi lakini tatizo la watu wanatamani yale ambayo tayari yamelimwa na kusafishwa. Wananchi wakipewa vichaka hawataki lakini ni watu wa kusubiri migogoro kila siku
 
  • Thanks
Reactions: K11
Tanzania Ni Kama Kapu La Mjinga Sasa Mwelevu Anatia Mkono
Kwa samia wagen wanafaidi sana siku wakinyanganywa watakimbilia International courts kuwa wamewekeza dollar 240ml kwa hiyo tutawqfidia halafu watakuja kusingiazia ni magufulia alivunja
 
Back
Top Bottom