ili uitwe mkataba lazima ufuate sheria inawezekana ikawa sheria ya kimataifa au ya nchi ya waingia mkataba.kama kuna makubaliano hayakufuata sheria basi hayo makubaliano si mkataba kwb maana mkataba ni makubaliano yenye nguvu kisheria
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.