Kuchakuro Ps
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 438
- 507
Wakuu Salam,
Biashara tajwa ni moja Kati chanzo kikuu cha mapato kwa dada zetu wengi na walio Warembo wamijini.
Wengine mpaka wamejenga nyumba nzuri tu, na Wana drive gari kalikali mijini.
Hii biashara inafanywa waziwazi tu, kwahiyo hatuwezi kusema ni biashara haramu hii.
Kwahiyo,
Sambamba na Sera yetu ya hapa kazi tu, pamoja na Changamoto ya ajira kwa vijana napendekeza kurasimishwa kwa biashara hii pendwa, ili iweze kuchangia kwenye mapato ya serikali.
Kuliko kuwakamata na kuwaweka rock up usiku mmoja, usiku unaofuata wako barabarani tena biashara inaendelea.
Hapana, haipaswi kuwa hivo.
Biashara tajwa ni moja Kati chanzo kikuu cha mapato kwa dada zetu wengi na walio Warembo wamijini.
Wengine mpaka wamejenga nyumba nzuri tu, na Wana drive gari kalikali mijini.
Hii biashara inafanywa waziwazi tu, kwahiyo hatuwezi kusema ni biashara haramu hii.
Kwahiyo,
Sambamba na Sera yetu ya hapa kazi tu, pamoja na Changamoto ya ajira kwa vijana napendekeza kurasimishwa kwa biashara hii pendwa, ili iweze kuchangia kwenye mapato ya serikali.
Kuliko kuwakamata na kuwaweka rock up usiku mmoja, usiku unaofuata wako barabarani tena biashara inaendelea.
Hapana, haipaswi kuwa hivo.