The Khoisan
JF-Expert Member
- Jun 5, 2007
- 15,394
- 12,978
Wajuzi tu Naomba maoni. Iwapo CHADEMA watagoma kupeleka Wabunge wa Viti Maalumu Bungeni, katiba yetu inasemaje kuhusu hili?
Nimeuliza hili kwa kuwa hao wabunge wa viti maalumu hupatikana kwa idadi ya kura. Na mgawanyo wa idadi unategemea kura ulizopata kwenye Ubunge.
Nimeuliza hili kwa kuwa hao wabunge wa viti maalumu hupatikana kwa idadi ya kura. Na mgawanyo wa idadi unategemea kura ulizopata kwenye Ubunge.