Sherehe za Mapinduzi ya Zanzibar zadorora

Sherehe za Mapinduzi ya Zanzibar zadorora

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
137,707
Reaction score
272,604
Huu ndio ukweli ulio wazi ambao wengi wameunyamazia .

Kiukweli si Zanzibar kwenyewe wala Tanganyika , si mitandaoni wala pengine popote , Sherehe za Mwaka huu za Mapinduzi matukufu ya Zanzibar zimedoda

Chanzo cha mdororo huu ni nini , na Je kama Taifa tunaelekea wapi ?
 
FB_IMG_1515606353700.jpg
 
Huu ndio ukweli ulio wazi ambao wengi wameunyamazia .

Kiukweli si Zanzibar kwenyewe wala Tanganyika , si mitandaoni wala pengine popote , Sherehe za Mwaka huu za Mapinduzi matukufu ya Zanzibar zimedoda

Chanzo cha mdororo huu ni nini , na Je kama Taifa tunaelekea wapi ?


Ule mwenge umekosa mafuta hata nao hatukuusikia kukimbizwa mitaani??
 
si kweli,mtoa mada unapenda mipasho,mwaka huu hakuna vijembe wala mipasho,
hutoba ya Dr Shein imeonyesha wao kama taifa wamateleleza Mangapi na bado yapi kutekelezwa.
Mtoa mada una sheeda.
Wapi nilipoandika kwamba hapakuwa na hotuba au gwaride liloambatana na kuvunjwa matofali kwa kichwa ? Werevu wote wanaelewa maana ya kudoda kwa sherehe .
 
Huu ndio ukweli ulio wazi ambao wengi wameunyamazia .

Kiukweli si Zanzibar kwenyewe wala Tanganyika , si mitandaoni wala pengine popote , Sherehe za Mwaka huu za Mapinduzi matukufu ya Zanzibar zimedoda

Chanzo cha mdororo huu ni nini , na Je kama Taifa tunaelekea wapi ?
Sherehe zimeangukia ijumaa ambayo ni siku ya ibayda
 
Chanzo nguvu tuliyo wekeza kwenye mapinduzi na kutambua undugu uliyopo kati yetu

Yaani tunako elekea nzanzibar watajitenga na mambo yao na sisi bara tutajitenga na mambo yetu

Maana dalili hizi ni mbaya kwa wanasiasa
 
Basi Sherehe zijazo kabla ya Sherehe SMZ itamwita Seif Ikulu ya Zanzibar Kama alivyoitwa Lowassa ili Sherehe zifane

Seif na Watu wake kituko, akishirikishwa kwenye Serikal huwa anayatambua Mapinduzi Matukufu ya 1964 wakimtema anatambua Utawala wa Sultan jamsheed kupitia Kibaraka wake Mohamed Shamte
 
Back
Top Bottom