Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 137,707
- 272,604
Huu ndio ukweli ulio wazi ambao wengi wameunyamazia .
Kiukweli si Zanzibar kwenyewe wala Tanganyika , si mitandaoni wala pengine popote , Sherehe za Mwaka huu za Mapinduzi matukufu ya Zanzibar zimedoda
Chanzo cha mdororo huu ni nini , na Je kama Taifa tunaelekea wapi ?
Kiukweli si Zanzibar kwenyewe wala Tanganyika , si mitandaoni wala pengine popote , Sherehe za Mwaka huu za Mapinduzi matukufu ya Zanzibar zimedoda
Chanzo cha mdororo huu ni nini , na Je kama Taifa tunaelekea wapi ?