Maryam Malya
Senior Member
- Nov 29, 2021
- 116
- 260
Kama mwanafasihi, mwanafalsafa, mwanasaiklojia, mchambuzi wa masuala ya kisiasa na kijamii nimesikiliza kwa makini sana hii hotuba ya rais wetu ndugu yangu na mama yangu Leah Ulaya nimegundua yafuayayo:
Mosi, ni dhahiri shahiri kuwa mtu mmoja hawezi kussababisha Serikali yetu pendwa kulipiza kisasi hivyo tuna kila sababu ya kumwondoa mtu huyo ili taasisi yetu ibaki salama.
Mtu huyo anajulikana hivyo kinachofata ni kumwondoa kwa utaratibu wa vikao vyetu kabla chama hakijaharibikiwa.
Pili, sherehe hiyo isingeisha salama kama huko mwanza hilo viongozi wetu walikuwa wameishalinusa pengine uwanja wa CCM kilumba usingebaki salama pia.
Hii ni kwa sababu walimu tunaongozwa na Mhasibu na sio mwalimu mwenzetu.
Tatu, chama ni kikubwa kuliko mtu hivyo hatuna sababu ya kumkumbatia CPA.
Nne, si kwamba Mh. Rais Samia Suluhu amekosa mtu wa kumwakilisha ni kwa sababu bado mama yetu anatupenda na ametupa muda mwingine wa kujitadakari kwa nn tuanaendelea kuongozwa na mtu asiye na nidhamu, pengine angekuwa ameishachukuwa hatua stahiki ila mama ni mama bado anatupenda.
Tano, muda wowote kuanzia sasa lolote laweza kutokea kwenye chama chetu maana tumekuwa kama sikia la kufa.
Mwisho niwashauri viongozi wenzangu tupunguze upambe tuseme ukweli ili kukiokoa chama na tuepuke tutengenezeana ajari, wanaoendelea kumdanganya CPA wanamtengenezea ajari bila yeye kujua anaamini wanampenda na wanamkubali.
Tujitathmini na tuchukue hatua.
Mosi, ni dhahiri shahiri kuwa mtu mmoja hawezi kussababisha Serikali yetu pendwa kulipiza kisasi hivyo tuna kila sababu ya kumwondoa mtu huyo ili taasisi yetu ibaki salama.
Mtu huyo anajulikana hivyo kinachofata ni kumwondoa kwa utaratibu wa vikao vyetu kabla chama hakijaharibikiwa.
Pili, sherehe hiyo isingeisha salama kama huko mwanza hilo viongozi wetu walikuwa wameishalinusa pengine uwanja wa CCM kilumba usingebaki salama pia.
Hii ni kwa sababu walimu tunaongozwa na Mhasibu na sio mwalimu mwenzetu.
Tatu, chama ni kikubwa kuliko mtu hivyo hatuna sababu ya kumkumbatia CPA.
Nne, si kwamba Mh. Rais Samia Suluhu amekosa mtu wa kumwakilisha ni kwa sababu bado mama yetu anatupenda na ametupa muda mwingine wa kujitadakari kwa nn tuanaendelea kuongozwa na mtu asiye na nidhamu, pengine angekuwa ameishachukuwa hatua stahiki ila mama ni mama bado anatupenda.
Tano, muda wowote kuanzia sasa lolote laweza kutokea kwenye chama chetu maana tumekuwa kama sikia la kufa.
Mwisho niwashauri viongozi wenzangu tupunguze upambe tuseme ukweli ili kukiokoa chama na tuepuke tutengenezeana ajari, wanaoendelea kumdanganya CPA wanamtengenezea ajari bila yeye kujua anaamini wanampenda na wanamkubali.
Tujitathmini na tuchukue hatua.