Sherehe za Maadhimisho ya Miaka 30 ya CWT yaahirishwa

Sherehe za Maadhimisho ya Miaka 30 ya CWT yaahirishwa

Maryam Malya

Senior Member
Joined
Nov 29, 2021
Posts
116
Reaction score
260
Kama mwanafasihi, mwanafalsafa, mwanasaiklojia, mchambuzi wa masuala ya kisiasa na kijamii nimesikiliza kwa makini sana hii hotuba ya rais wetu ndugu yangu na mama yangu Leah Ulaya nimegundua yafuayayo:

Mosi, ni dhahiri shahiri kuwa mtu mmoja hawezi kussababisha Serikali yetu pendwa kulipiza kisasi hivyo tuna kila sababu ya kumwondoa mtu huyo ili taasisi yetu ibaki salama.

Mtu huyo anajulikana hivyo kinachofata ni kumwondoa kwa utaratibu wa vikao vyetu kabla chama hakijaharibikiwa.

Pili, sherehe hiyo isingeisha salama kama huko mwanza hilo viongozi wetu walikuwa wameishalinusa pengine uwanja wa CCM kilumba usingebaki salama pia.

Hii ni kwa sababu walimu tunaongozwa na Mhasibu na sio mwalimu mwenzetu.

Tatu, chama ni kikubwa kuliko mtu hivyo hatuna sababu ya kumkumbatia CPA.

Nne, si kwamba Mh. Rais Samia Suluhu amekosa mtu wa kumwakilisha ni kwa sababu bado mama yetu anatupenda na ametupa muda mwingine wa kujitadakari kwa nn tuanaendelea kuongozwa na mtu asiye na nidhamu, pengine angekuwa ameishachukuwa hatua stahiki ila mama ni mama bado anatupenda.

Tano, muda wowote kuanzia sasa lolote laweza kutokea kwenye chama chetu maana tumekuwa kama sikia la kufa.

Mwisho niwashauri viongozi wenzangu tupunguze upambe tuseme ukweli ili kukiokoa chama na tuepuke tutengenezeana ajari, wanaoendelea kumdanganya CPA wanamtengenezea ajari bila yeye kujua anaamini wanampenda na wanamkubali.

Tujitathmini na tuchukue hatua.
 
Endeleeni kujipendekeza kwa serikali wakati yenyewe inawatumia kama daraja la mambo yake.

Michango yote mwalimu iwe ya mwenge sijui ujinga gani teacher.

Maslahi ya chini teacher.

No wonder kada ya ualimu siku hizi ipo ipo tu kwa wengi ni chaguo la mwisho baada ya huku kwingine kushindikana.
 
Mbona Anna Makinda alikuwa ni Mhasibu na aliongoza vizuri bunge tofauti na hili la Mwanasheria mjinga?
Bunge aweza ongoza mtu yeyote mradi awe mbunge vyama vya kitaalamu kama madaktari,Walimu nk kiongozi anatakiwa kuwa Mwalimu au Daktari.

Chama Cha walimu kweli akili kichwani hazimo waliwekaje Mhasibu. Kweli vichwa vyao vimejaa maji.
 
Bunge aweza ongoza mtu yeyote mradi awe mbunge vyama vya kitaalamu kama madaktari,Walimu nk kiongozi anatakiwa kuwa Mwalimu au Daktari
Chama Cha walimu kweli akili kichwani hazimo waluwekaje Mhasibu.Kweli vichwa vyao vimejaa maji
Ummy ni DR mbona anaongoza Wizara ya Afya? hakuna kitu kama hicho
 
Hata pipi yake si haba mshahara wa KM pale ni 16M nje na posho + miradi kibao ipo chini ya KM
Kumbe kuna ulaji. Yule mkoba alikuwa mwalimu wangu wa civics o level alikuwa anaonekana akiingia pale atabadilisha mambo maana alikuwa anaponda sana vitu vilivyo. Alipopata nafasi ya uraisi, wanakwambia akawa kama si mwenyewe.
 
Back
Top Bottom