Bowbow
JF-Expert Member
- Oct 20, 2007
- 541
- 30
Ndugu watanzania na wote wenye mapenzi mema
Jamii ya watanzania waishio Denmark inapenda kuwakaribisha kwenye sherehe ya 46 Ya Uhuru wa Tanzania itakayo fanyika siku ya tarehe 08.12.2007 siku ya Jumamosi katika ukumbi wa Vanløse Kulturhus Frode Jakobsens plads 4,1. 2720 Vanløse
Tunaomba watanzania wote waishio Denmark, Northern Ujerumani, Sweden na hata Norway na Netherlands washiriki kwenye party hiyo . Pamoja na mambo mengine kutakuwa na 3hours exhbition ya kuitangaza tanzania nakatika nyanja zote kuanzia saa 8 hadi 11 na nusu jioni.
Kutakuwa na chakula cha jioni ikifuatiwa na shows mbali mbali ikiwepo kanga show,traditional dances, Live perfomance kutoka kwa wasanii wa zamani waliokuwa wanaitwa tatu nane, Show ya watoto, Vijana(bongo Fleva)na kufuatiwa na Disco la nguvu kupitia kwa Dj Prince Anil the best DJ in CPH
Upatapo taarifa hizi mjulishe mtanzania mwenzio, Mkenya, Mganda na watu woooooote wenye mapenzi mema.
Come one, come all
for detail tembelea tovuti www.watanzania.dk
Jamii ya watanzania waishio Denmark inapenda kuwakaribisha kwenye sherehe ya 46 Ya Uhuru wa Tanzania itakayo fanyika siku ya tarehe 08.12.2007 siku ya Jumamosi katika ukumbi wa Vanløse Kulturhus Frode Jakobsens plads 4,1. 2720 Vanløse
Tunaomba watanzania wote waishio Denmark, Northern Ujerumani, Sweden na hata Norway na Netherlands washiriki kwenye party hiyo . Pamoja na mambo mengine kutakuwa na 3hours exhbition ya kuitangaza tanzania nakatika nyanja zote kuanzia saa 8 hadi 11 na nusu jioni.
Kutakuwa na chakula cha jioni ikifuatiwa na shows mbali mbali ikiwepo kanga show,traditional dances, Live perfomance kutoka kwa wasanii wa zamani waliokuwa wanaitwa tatu nane, Show ya watoto, Vijana(bongo Fleva)na kufuatiwa na Disco la nguvu kupitia kwa Dj Prince Anil the best DJ in CPH
Upatapo taarifa hizi mjulishe mtanzania mwenzio, Mkenya, Mganda na watu woooooote wenye mapenzi mema.
Come one, come all
for detail tembelea tovuti www.watanzania.dk