Sherehe ya kumtahiri mtoto

Sherehe ya kumtahiri mtoto

Mkwaruzo

JF-Expert Member
Joined
Feb 21, 2011
Posts
563
Reaction score
98
Siku moja mume na mke wake waliandaa sherehe ya kumtahiri kijana wao... Wakatayarisha kadi kwa lugha ya Kiengereza lkn kwa bahati mbaya wakashindwa kuandika 'Sherehe ya Kutahiri' kwa Kiengereza. Wakajadili na hatimaye wakaamua kuandika "CEREMONY OF CUTTING ****ING INSTRUMENT"....!
 
aahhahahahaha, hii kali kuliko.
nimeanza siku yangu vizuri
 
4some how, inaonekana wengi wamefurahia kimya kimya...
 
ha,ha,ha,ha,ha,haaaa... Hii ni yaukwel yan ninamalza vzur cku yangu
 
Back
Top Bottom