Sherehe ni za Mei mosi au kampeni za uchaguzi

Sherehe ni za Mei mosi au kampeni za uchaguzi

cutelove

JF-Expert Member
Joined
Oct 3, 2017
Posts
3,586
Reaction score
8,386
Natamani nijue sherehe za Mei mos katika mataifa mengine nilinganishe na mei mosi ya Tanzania

Kila sentensi ni kumsifu na kumuabudu Mama Samia na kauli za Mitano tena

Nikafikiri sherehe ni sehemu ya kusifia wafanyakazi wanavyofanya kazi kwa maendeleo ya Taifa na kuzungumzia changamoto za wafanyakazi badala yake ni kampeni

Kinachoendelea Singida ni Mei Mosi au Kampeni za uchaguzi?
 
Natamani nijue sherehe za Mei mos katika mataifa mengine nilinganishe na mei mosi ya Tanzania

Kila sentensi ni kumsifu na kumuabudu Mama Samia na kauli za Mitano tena

Nikafikiri sherehe ni sehemu ya kusifia wafanyakazi wanavyofanya kazi kwa maendeleo ya Taifa na kuzungumzia changamoto za wafanyakazi badala yake ni kampeni

Kinachoendelea Singida ni Mei Mosi au Kampeni za uchaguzi

May Mosi oyeee! Rais Samia oyeee! Mitano tena kwake SSH


Hutaki hamia Kongo
 
Natamani nijue sherehe za Mei mos katika mataifa mengine nilinganishe na mei mosi ya Tanzania

Kila sentensi ni kumsifu na kumuabudu Mama Samia na kauli za Mitano tena

Nikafikiri sherehe ni sehemu ya kusifia wafanyakazi wanavyofanya kazi kwa maendeleo ya Taifa na kuzungumzia changamoto za wafanyakazi badala yake ni kampeni

Kinachoendelea Singida ni Mei Mosi au Kampeni za uchaguzi?
Pole sana ndugu kwa changamoto zinazosumbua taifa hili, ni matumaini yetu kuwa kizazi kijacho kitafanya mabadiliko. Maana Kwa hiki kizazi tulichonacho kimeridhika na Hali iliyopo.
 
Natamani nijue sherehe za Mei mos katika mataifa mengine nilinganishe na mei mosi ya Tanzania

Kila sentensi ni kumsifu na kumuabudu Mama Samia na kauli za Mitano tena

Nikafikiri sherehe ni sehemu ya kusifia wafanyakazi wanavyofanya kazi kwa maendeleo ya Taifa na kuzungumzia changamoto za wafanyakazi badala yake ni kampeni

Kinachoendelea Singida ni Mei Mosi au Kampeni za uchaguzi?
Sherehe ya Wafanyakazi na ipo dunia nzima.
Mitake kuhusish na siasa.
 
Taifa linaelekea wapi?

Tunaelekea wapi pale unapohuduria sherehe za Mayday na kumsikia mkuu wa mkoa akisema CCM mitano tena!!!! Hii maana yake nini?
 
Taifa linaelekea wapi?

Tunaelekea wapi pale unapohuduria sherehe za Mayday na kumsikia mkuu wa mkoa akisema CCM mitano tena!!!! Hii maana yake nini?
TUCTA,TALGU CWT,TUGHE natakataka zingine zote ni matawi ya ccm wafanyakazi nchi hii hovyo kabisa hawazijui haki zao
 
Natamani nijue sherehe za Mei mos katika mataifa mengine nilinganishe na mei mosi ya Tanzania

Kila sentensi ni kumsifu na kumuabudu Mama Samia na kauli za Mitano tena

Nikafikiri sherehe ni sehemu ya kusifia wafanyakazi wanavyofanya kazi kwa maendeleo ya Taifa na kuzungumzia changamoto za wafanyakazi badala yake ni kampeni

Kinachoendelea Singida ni Mei Mosi au Kampeni za uchaguzi?
Waache waje watheme tena🤸
 
Natamani nijue sherehe za Mei mos katika mataifa mengine nilinganishe na mei mosi ya Tanzania

Kila sentensi ni kumsifu na kumuabudu Mama Samia na kauli za Mitano tena

Nikafikiri sherehe ni sehemu ya kusifia wafanyakazi wanavyofanya kazi kwa maendeleo ya Taifa na kuzungumzia changamoto za wafanyakazi badala yake ni kampeni

Kinachoendelea Singida ni Mei Mosi au Kampeni za uchaguzi?
Utajua ww kama mei mosi au kampeni Samia mitano tena CCM daima
 
Nyie si ndo mnawaibia kura,bora waanze kuwapanga mapema
 
Taifa linaelekea wapi?

Tunaelekea wapi pale unapohuduria sherehe za Mayday na kumsikia mkuu wa mkoa akisema CCM mitano tena!!!! Hii maana yake nini?
Ni mahaba tu kwa mkuu wetu wa nchi.
 
Back
Top Bottom