Sherehe kubwa ya Dk Slaa; Nilidhani CHADEMA ni watu wenye utu...


Kwa hiyo ulitaka Dr Slaa asioe kwa sababu Meli imezama? Ndo sio anaamua yeye kuwa leo nafunga na kesho naacha ila inaandikishwa na kufuata taratibu zote za kisheria.

Hii ni issue ya kifamilia na sio kichama, wewe unaishi ili iweje km huwezi hata kufikiri jambo dogo km hilo then unaibuka nalo tu hapa?

Km wewe sio fisadi basi maisha yako yatakuwa magumu sana maana huonekani km uwezo wako wa kufikiri upo sawa. Sasa ulitaka Dr Slaa aseme nasogeza ndo mbele na leo kumetokea ajali WAMI pia asifunge ndo kuna ajali Wami, etc.

Akili yako inakutuma kuwa Dr Salaa alivyofunga ndoa waliokuwepo ni Chadema peke yao sio? Hili jambo la family halina uhusiano na vyama so pale ni kadi ya mwaliko kutoka kwa family na sio kwa chama fulani.
 
Haiwezekani watu tunaomboleza jamaa anaoaaaa Daaaaaaamnnnnnnnn!!huu ni ubinafsi wa hali ya juu

Watu waliozoea ndoa za mkeka utawajua tu, mkuu kwani we hufahamu ndoa za kikristo huwa seme setiwa hadi tarehe? na huwa aidha kuna matangazo kanisania aua bomani, sasa hiyo pia ipo kisheria, hivi unakumbuka wakati ule Nyerere alipo fariki? Serikali haikuzuia ndoa bali ilizuia sherehe zenye mwelekeo wa mbwembwe nyingi, nakumbuka ndoa kadhaa wakati huo zilifungwa vizuri tu, sasa hapa issue ni nini? tuwe wakweli, hivi MV Victoria ilipo zama, Zanzibar kulikuwaje? mlisitisha kila kitu hadi ndoa za mkeka? Mawazo mengine bana, full kichefu chefu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…