Shemu, mimi nitamwambia kaka hakyanani!

Shemu, mimi nitamwambia kaka hakyanani!

Mjina Mrefu

JF-Expert Member
Joined
Dec 6, 2016
Posts
3,047
Reaction score
3,407
Last week nimepata annual leave kazini.

Nikamchukua wife (maana naye aliomba leave ya mwezi huu) tukaenda zetu bagamoyo kwa bro kwa mapumziko ambako ndipo wazazi wapo pia.

Sasa bro ana wife mhaya. Ni anajambia mbali mno. Yaani akijamba hapa bagamoyo kinanukia mlandizi.

Urgently, wife akapigiwa simu arudi kazini na kwamba leave ataifanya nxt month. Coz anafanya kaz Hospital ya private.

Bro huwa ni mwanasheria na asubuhi huwa anakwenda kazini. Wife ake ni mama wa home tu. Sema bado hawana mtoto.

Sasa huwa mara nyingi tunabaki home mimi na shemelao na wazazi ila wazazi wanakaa nyumba ya pembeni kidogo.

Yaani nikiwa sebuleni nacheza fifa, shemej anafanya makusudi anajifunga kanga laini inayoonesha hadi nguo za ndani. Huwa anajipitisha pitisha mbele yangu, mara aje nilipokaa aniwekee miguu nione paja laini. Yaani full vitimbwi. Anajifanya mm kama mumewe. Juzi nilikua natoka kwenda mjini akaja hadi chumbani ananikuta nafunga vifungo vya shati, akalazimisha anifunge huku akinitolea tabasamu zito la mahaba.

Yaani Anaonesha kila sababu ya kutaka nimtafune but namkwepa.

Nimeshafanya kosa la kumla beki tatu once, sitorudia tena kosa litakalovunjaa undugu na bro angu.

Hapa nimepanga,
-nimchane live shem
-nimwambie bro
-nisepe kurudi zangu magomeni wiki kesho.
 
Pambana na hai yako.

Utuletee na mrejesho
 
Pumbaaaaa....u! Yaani leave unamtoa mai waifu kumpeleka kwa bro kupumzika? Tena na wazazi ndani?

Si ajabu ulipitia hadi beki tatu, si ndo una balehe!
 
Au mimi siihi duniani? Kuna watu kila siku wana visa vipya wanavileta tu, daily vinawakuta wao tu.

Aah ok mimi ni yule nisiyejulikana.
 
Last week nimepata annual leave kazini.

Nikamchukua wife (maana naye aliomba leave ya mwezi huu) tukaenda zetu bagamoyo kwa bro kwa mapumziko ambako ndipo wazazi wapo pia.

Sasa bro ana wife mhaya. Ni anajambia mbali mno. Yaani akijamba hapa bagamoyo kinanukia mlandizi.

Urgently, wife akapigiwa simu arudi kazini na kwamba leave ataifanya nxt month. Coz anafanya kaz Hospital ya private.

Bro huwa ni mwanasheria na asubuhi huwa anakwenda kazini. Wife ake ni mama wa home tu. Sema bado hawana mtoto.

Sasa huwa mara nyingi tunabaki home mimi na shemelao na wazazi ila wazazi wanakaa nyumba ya pembeni kidogo.

Yaani nikiwa sebuleni nacheza fifa, shemej anafanya makusudi anajifunga kanga laini inayoonesha hadi nguo za ndani. Huwa anajipitisha pitisha mbele yangu, mara aje nilipokaa aniwekee miguu nione paja laini. Yaani full vitimbwi. Anajifanya mm kama mumewe. Juzi nilikua natoka kwenda mjini akaja hadi chumbani ananikuta nafunga vifungo vya shati, akalazimisha anifunge huku akinitolea tabasamu zito la mahaba.

Yaani Anaonesha kila sababu ya kutaka nimtafune but namkwepa.

Nimeshafanya kosa la kumla beki tatu once, sitorudia tena kosa litakalovunjaa undugu na bro angu.

Hapa nimepanga,
-nimchane live shem
-nimwambie bro
-nisepe kurudi zangu magomeni wiki kesho.
Mkuu mtego Huo angalia sana. Ila daah hivi vituko vya mashemeji huwa haviishagi asee
 
Ndo ile movie mpya mliyoenda Fanya video shooting bagamayo au?
 
Kwanza unaanza vipi kumla shemeji yako?
Mkuu achana na hiyo dhambi mwanamke asijefanya mkosane na braza ako
 
Hainaga hiyo mkuu,... Itakua kuna sehemu bro wako anaikosea kwenye ndoa yake, mwekee sawa kiroho Safi. Bro wako huyo ujue, msaidie bhana!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom