Burhan urasa
Member
- Jun 18, 2013
- 29
- 14
Mkuu onyesha ukomavu wa akili, hiyo wiki kesho isifike nenda kwa mkeo. Huyo ukikaa nae siku mbili utakula ni sawa na mtu anaetumia muwa kama fimbo ya kutembelea utaula tu.
Mke wa mtu SumuChagua moja
1)ONESHA UANAUME
Au
2)IKIMBIE ZINAA
hahahahAu mimi siihi duniani? Kuna watu kila siku wana visa vipya wanavileta tu, daily vinawakuta wao tu.
Aah ok mimi ni yule nisiyejulikana.
Rudi kwako,mkeo amerud why na wewe usirud kwako?Unabak kumchekea chekea unauweka rehani unduguLast week nimepata annual leave kazini.
Nikamchukua wife (maana naye aliomba leave ya mwezi huu) tukaenda zetu bagamoyo kwa bro kwa mapumziko ambako ndipo wazazi wapo pia.
Sasa bro ana wife mhaya. Ni anajambia mbali mno. Yaani akijamba hapa bagamoyo kinanukia mlandizi.
Urgently, wife akapigiwa simu arudi kazini na kwamba leave ataifanya nxt month. Coz anafanya kaz Hospital ya private.
Bro huwa ni mwanasheria na asubuhi huwa anakwenda kazini. Wife ake ni mama wa home tu. Sema bado hawana mtoto.
Sasa huwa mara nyingi tunabaki home mimi na shemelao na wazazi ila wazazi wanakaa nyumba ya pembeni kidogo.
Yaani nikiwa sebuleni nacheza fifa, shemej anafanya makusudi anajifunga kanga laini inayoonesha hadi nguo za ndani. Huwa anajipitisha pitisha mbele yangu, mara aje nilipokaa aniwekee miguu nione paja laini. Yaani full vitimbwi. Anajifanya mm kama mumewe. Juzi nilikua natoka kwenda mjini akaja hadi chumbani ananikuta nafunga vifungo vya shati, akalazimisha anifunge huku akinitolea tabasamu zito la mahaba.
Yaani Anaonesha kila sababu ya kutaka nimtafune but namkwepa.
Nimeshafanya kosa la kumla beki tatu once, sitorudia tena kosa litakalovunjaa undugu na bro angu.
Hapa nimepanga,
-nimchane live shem
-nimwambie bro
-nisepe kurudi zangu magomeni wiki kesho.
Aah wapiAisee kweli wanaume wameisha
Sasa kweli mwanaume anamuacha mke wake yeye anabakia nyumbani na shemeji yake tena sio kwakeAah wapi![]()
Hili ndo jibu zuri.Wewe na shemeji yako wote wajinga tu