Shemu, mimi nitamwambia kaka hakyanani!

Shemu, mimi nitamwambia kaka hakyanani!

Mkuu onyesha ukomavu wa akili, hiyo wiki kesho isifike nenda kwa mkeo. Huyo ukikaa nae siku mbili utakula ni sawa na mtu anaetumia muwa kama fimbo ya kutembelea utaula tu.
 
Usilete ugomvi kwa watu then wewe ukawe na amani kwako. Ya ngoswe mwachie mwenyewe.
 
Last week nimepata annual leave kazini.

Nikamchukua wife (maana naye aliomba leave ya mwezi huu) tukaenda zetu bagamoyo kwa bro kwa mapumziko ambako ndipo wazazi wapo pia.

Sasa bro ana wife mhaya. Ni anajambia mbali mno. Yaani akijamba hapa bagamoyo kinanukia mlandizi.

Urgently, wife akapigiwa simu arudi kazini na kwamba leave ataifanya nxt month. Coz anafanya kaz Hospital ya private.

Bro huwa ni mwanasheria na asubuhi huwa anakwenda kazini. Wife ake ni mama wa home tu. Sema bado hawana mtoto.

Sasa huwa mara nyingi tunabaki home mimi na shemelao na wazazi ila wazazi wanakaa nyumba ya pembeni kidogo.

Yaani nikiwa sebuleni nacheza fifa, shemej anafanya makusudi anajifunga kanga laini inayoonesha hadi nguo za ndani. Huwa anajipitisha pitisha mbele yangu, mara aje nilipokaa aniwekee miguu nione paja laini. Yaani full vitimbwi. Anajifanya mm kama mumewe. Juzi nilikua natoka kwenda mjini akaja hadi chumbani ananikuta nafunga vifungo vya shati, akalazimisha anifunge huku akinitolea tabasamu zito la mahaba.

Yaani Anaonesha kila sababu ya kutaka nimtafune but namkwepa.

Nimeshafanya kosa la kumla beki tatu once, sitorudia tena kosa litakalovunjaa undugu na bro angu.

Hapa nimepanga,
-nimchane live shem
-nimwambie bro
-nisepe kurudi zangu magomeni wiki kesho.
Rudi kwako,mkeo amerud why na wewe usirud kwako?Unabak kumchekea chekea unauweka rehani undugu
 
Aisee kweli wanaume wameisha
Aah wapi
761b3e435425d534e3f00d137c12f2f2.jpg
 
MKUU, HAPO CHA KUFANYA USIMWAMBIE BRO. HAWEZ KUKUAMIN NA ATAKUCHUKIA. WEWE SEPA..
 
Kwel wanaume tuko wachache.... ad malaika wana kushangaa...tikisa nyavu kiroho MBAYA.
 
Ikiwa Mkeo amerudi nyumbani wewe una subiria nini? kuna mambo mengine ni vizuri ukijiepusha bila kumdhuru yoyote,why ungojee mpaka mpaka lini sijui fungasha uondoke,haina haja ya kumwambia kaka yako wala nani..
 
Kupata fursa ya kumkosea kaka yako kwa manufaa ya mwili wako na ukaamua kuto kufanya kosa hill ndo USHUJAA NA UNDUGU WENYEWE
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom