Waungwana gari la benki ya CRDB limepita maeneo ya Gongo la Mboto jijini likitangaza kuuzwa kwa mnada hotel Maarufu jijini SHEMSHI iliyoko Mzambarauni jirani rani na Gongo la mboto, hoteli hiyo inamilikiwa na Mh. Dr. Henry Daffa Shekiffu ambaye ni mbunge machachari wa jimbo la Lushoto kupitia CCM, jamaa wanaotangaza wakiwa na madalali wanasema jumba hilo lenye ghorofa moja na ukumbi wa kisasa wa Disco na ukumbi wa sherehe vinauzwa kwa bei ya kutupwa tshs. 400m