Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,020
Cha msingi ongeza usiri kwenye mambo yako unayofanya.Huyu ni mke wa brother wangu kwenye mambo mengine tunaishi fresh tu ila kitu kimoja ananikela ni tabia yake ya usnitc,
Jana nimepigwa kibuti na demu wangu kwa sababu yake ya kutembeza umbea kwa mademu zangu kwamba mimi ni malaya na sometime huwapa location/data kabisa jinsi ya kunifumania,
Kusema kweli nimemchoka sana huyu shemeji yangu kwa tabia yake ya usnitch japo kwenye inshu zingine yuko fair ata ikifika kwenye swala la hela siyo bahili kivile ukiwa na shida anakupiga tafu fresh tatizo huo usnitch tu wakuu,
Nifanye nini nikomeshe hii tabia kwake wakuu.?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app