sijawahi pokea like yako hata moja! unaweza kuniambia sababu?
Mkuu una yako...
nimeamua nikupuuze
Habari ndio hiyo
Na akikuta bwawa ndo balaa!!!!!!!!
Mkuu hapa tunasema umefunga biznezz bazazing in action!!Nawaswas na mkeo huku nyuma usikute kuna mtu nae kaja kujilia dinner ....uwah kurud!!!
Huyo mkeo naye majanga tu! Anakuelekeza kwenye mchepuko live bila chenga!
acha unoko wewe,si damu isiende mbali
si wajua wamama wengine wanazeeka na ulimbende wao, akikatiza, akijilegeza tu unapita mazima...
mkwee.... inapita kimya kimya....!Teh "mkwe mkwee"
Nawaswas na mkeo huku nyuma usikute kuna mtu nae kaja kujilia dinner ....uwah kurud!!!
Nikutakie uwehu mwema dude!
Kwa sequency hiyo nimwombe Mungu akujaalie mabint wawili ili mmoja aje kuolewa na mkweo huku mwingine awe shemeji mtu kisha mkweo atembee na bint yako mdogo na kila binti ajaaliwe watoto wawili (wajukuu zako) ili hii laana iendelee kwenye vizazi vyako vyote....ptuuuuuuuuuuuuuh!
kabisa arifuMkuu hapa tunasema umefunga biznezz bazazing in action!!