Shemeji yangu jamani

Shemeji yangu jamani

Haya mambo siku hizi kila mtu ana episodes!!

Haya bana...

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Naona amesema itaendelea badae ili akaugegede kwanza mzigo alafu ndo atuambie kilichojiri!!!Tumtakie ugegedaji mwema na uchotaji mzuri wa vile vidudu vya kukondesha mwili!!!
 
Duh! manuu njoo umalizie hii hadithi.... Naona muda si mrefu shetani atashangilia ushindi..!
 
Last edited by a moderator:
Usiniambie jukwaa la bondeni ndio linaitwa team mafisi

na lina muhuri wa ofisi...
attachment.php
 
sina ujasiri wa kusema hapa...


Duh haya kumbe ndo maana uko busy!!!

maana wale watu wako wa kule chini wanapenda sana haki zao aisee sasa ina maana kule hufiki kabisa kwa siku ya leo?

Nilikuona jana kwa mbaaali
 
Duh haya kumbe ndo maana uko busy!!!

maana wale watu wako wa kule chini wanapenda sana haki zao aisee sasa ina maana kule hufiki kabisa kwa siku ya leo?

Nilikuona jana kwa mbaaali

mmh mtumishi jameni!!!
unamchunga sana mwanakondoo wako....
 
mmh mtumishi jameni!!!
unamchunga sana mwanakondoo wako....


Nimesikia wajumbe wa bunge la katiba mnataka ipad..

tafadhali usijeipata ukaanza kuangalia swaga za watu wako wa kule chini mjengoni ukapoteza confidence!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom