Shemeji yangu jamani

Shemeji yangu jamani

ha ha ha Haa

vipi mkuu nimrushie nini yale makitu maana kuna mengine moto moto ndo nimeyapata hapa ila ntahitaji ruksa ya rafiki yangu Excel

sitaki urafiki na manuu kabisa!!! unajua kijana anajiona mjanja saaaaaana anasahau hao walioenda kusoma uganda walikuja kuaga kwangu nikawa-freight forward kwa kuwa-clear effectively! huyo dem sio wako wewe ndo maana anakuzingua..
 
Last edited by a moderator:
Dah hii mada inanifanya nihisi kabisa kuna sehemu inaanza kuvimba taratibu na maumivu ya kichwa yanaanza pooole pole.......nasikia maumivu makali kupita kiasi
 
Mara kashfa Mara ukweli ndo huo lipi ni lipi?

mchungaji hujui kwamba kashfa inaweza kuwa kweli au kupakaziwa?halafu mbona umekuwa mkali badala ya kujibu hoja?kitu gani kilichokuvutia mtu wa Mungu kutumia picha ya jidude linalotisha?unajua hapa tunawa-treat watu kutokana na character wanazoonyesha hapa bila kujali uhalisia wao ktk dunia ya kweli ndio huo au la,hivyo hapa wewe umejipambua kama mtu wa kutupia maneno ya dini/injili hivyo basi tukiona kuna vitu visivyoendana na character yako kama hilo dubwana ktk avatar yako ambalo wengine tunaliona limekaa kifreemason basi tunazungumza pia hisia zetu,haya jibu hoja!

USHAURI WA BURE:kuwa muungwana,kubali kuwa avatar yako haiendani na character yako uliyoionyesha hapa,badilisha,uungwana ni kuikubali kweli na kutembea ktk kweli
 
Ona sasa nimesoma tu mlingoti huo yani imebidi nipitilize kituo hata huku chini kutulie
 
mchungaji hujui kwamba kashfa inaweza kuwa kweli au kupakaziwa?halafu mbona umekuwa mkali badala ya kujibu hoja?kitu gani kilichokuvutia mtu wa Mungu kutumia picha ya jidude linalotisha?unajua hapa tunawa-treat watu kutokana na character wanazoonyesha hapa bila kujali uhalisia wao ktk dunia ya kweli ndio huo au la,hivyo hapa wewe umejipambua kama mtu wa kutupia maneno ya dini/injili hivyo basi tukiona kuna vitu visivyoendana na character yako kama hilo dubwana ktk avatar yako ambalo wengine tunaliona limekaa kifreemason basi tunazungumza pia hisia zetu,haya jibu hoja!

USHAURI WA BURE:kuwa muungwana,kubali kuwa avatar yako haiendani na character yako uliyoionyesha hapa,badilisha,uungwana ni kuikubali kweli na kutembea ktk kweli



Ha ha ha ha

imebidi tu nicheke kwahiyo avatar yangu inakuzingua eeh
 
sitaki urafiki na manuu kabisa!!! unajua kijana anajiona mjanja saaaaaana anasahau hao walioenda kusoma uganda walikuja kuaga kwangu nikawa-freight forward kwa kuwa-clear effectively! huyo dem sio wako wewe ndo maana anakuzingua..


ha ha ha

mkuu nitupie zile brands?
 
Last edited by a moderator:
Ha ha ha ha

imebidi tu nicheke kwahiyo avatar yangu inakuzingua eeh

kwa hakika inanizingua....unaleta maneno mazuri ya Mungu,kisha natizama nani kaleta maneno mazuri haya,naona ni lusungo,nashuka chini kidogo nakutana na avatar dubwana la kutisha,upako wote unapotea,kwa kweli ujumbe wako unaoletaga na avatar yako ni kama kupewa maziwa yakiwa ktk kopo la chooni!(samahani mfano sio mzuri lakini ndio hisia ninazopata)
 
kwa hakika inanizingua....unaleta maneno mazuri ya Mungu,kisha natizama nani kaleta maneno mazuri haya,naona ni lusungo,nashuka chini kidogo nakutana na avatar dubwana la kutisha,upako wote unapotea,kwa kweli ujumbe wako unaoletaga na avatar yako ni kama kupewa maziwa yakiwa ktk kopo la chooni!(samahani mfano sio mzuri lakini ndio hisia ninazopata)


Mkuu una yako...

nimeamua nikupuuze
 
yani ninyi Lusungu na Excel hamna maana kabisa hebu chekini maongezi yenu;

Lusungu: manuu analeta rabsha sasa ndo nauliza nitupie zile updates za kuzimu? maana segere kaniita hapa

Excel
: aaargh! achana na kuzimu bana! kwani muda ushaisha? bado bado..!

Vipi huko kuzimu mwapatikana kitengo gani?
 
yani ninyi Lusungu na Excel hamna maana kabisa hebu chekini maongezi yenu;

Lusungu: manuu analeta rabsha sasa ndo nauliza nitupie zile updates za kuzimu? maana segere kaniita hapa

Excel
: aaargh! achana na kuzimu bana! kwani muda ushaisha? bado bado..!

Vipi huko kuzimu mwapatikana kitengo gani?



umataka kwenda?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom