Shemeji yangu jamani

Shemeji yangu jamani

Ni bora juzi ulivomgegeda x wako kuliko kumfanya huyo mdogo wa mkeo
I guess next week utamfanya mama mkwe
nahisi kumuonea huruma mkeo mbona unamuumiza kiasi hicho ni kipi kikubwa anachokuudhi????

acha unoko wewe,si damu isiende mbali
 
jamaa hajarudi tu?! me muda wote huo nazungukia hapa hapa natoka patupu?! wacha kutufanya kama nyumbu banah! maliza bac?
 
watu wa tanga mtanisaidia kuna kabila moja tanga eti mtu akifanya laana kama hii na ndugu, watu uanzia kufa kuanzia mkubwa wao mpaka wa mwisho kwenye line ya uzawa ya mdhambi sijajua ni kabila gani ilo
 
Dah, jamaa inaonekana umefaidi sana siku hiyo tena mtoto maziwa yako saa sita. Njoo malizia story basi iliishiaje
 
Npo kampala we utakuwa mbarara au?

Unajua bibi yangu aliniachia ungo wake kipindi anakivuta, hivyo hata uwe wapi ni dakika tu kukufikia. We unanitonya tu kuwa uji wa asili umeshaiva. Teh, hujambo lakini?
 
Wengine tuna shift ya usiku, ushatuharibia kazi aisee

Sent from my Nokia Lumia using Tapatalk
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom