Shemeji ulichofanya ipo siku tu

Shemeji ulichofanya ipo siku tu

jerry joshy

JF-Expert Member
Joined
Jul 8, 2015
Posts
402
Reaction score
504
Habari wanaJF,

Naanza week kwa machungu makubwa na kwa hasira isiyokuwa na wa kunituliza.

Kwako shemeji Mkurya,

Naandika kwakuwa najua unaingiaga JF 24/7. Nachotaka kukuambia ni kuwa Mungu yupo kwa ulichomfanyia dada angu. Nataka nikupe taarifa tu kuwa alopewa kapewa na kama kikitoka kimoja huwa vinarudi zaidi ya kumi.

Baada ya kumuoaa dada angu ukakaribishwa home ukawa unalelewa zaidi ya mimi mdogo wa mtu. Familia yetu ilikutunza kama mtoto mchanga mpaka vocha ukawa unanunuliwa ila shemeji shukrani huna, ulijivika ngozi ya kondoo dada angu kakuogesha ukatakata na sasa una shine mjini umejisahau.

Wewe wa kumletea dada angu mke mwingine ndani wakati nyumba ni ya dada angu na kila kitu ni cha kwake? Yaani aiseee ulichokifanya kimeumiza saana familiaaa yetu.

Umesahau baba na mama ndo walokulipia ada yako ya masters baada ya kujifanya wewe ni mtu wa shida sana? Umesahau mama alikununuliaa kila kitu ili uonekane na wewe mwanaume wa mjini? Daah shemeji hakika umefika mjini nakuaandikia kwa kuwa najuaa ujumbe utakufikiaa.

Kupata kazi usidhani ndo umeyapatiaa maisha na kuleta jeuri. Kumbuka ulikuwa unanunuliwaa mpka boxer manake ulikuwa hujui boxer ni nini zaidi ya kuvaaa machupi mtu mzima? Majibu yako na matusi yameisikitisha familiaa na tulichoamua ni kuwa dada angu hatorudi tena kwako na sisi hatutaki kukuona tena na mwanao hutakaa umuone tena wala mkeo hutakaa umsikie tena. Jiandae kwa talaka ya kanisani.

Mwanaume gani wewe ndoa haina miaka 3 ushaingiza mke mwingine ndani? Kwanza tulikukataaa familiaa nzimaa ulivyokuja kama msukule ila dada angu na kiherehere chake akakung'ang'aniaaa na kujifanya kakupenda wewe tu.

Sasa hatma yako imefika, hatukutaki home wala hatutaki kukusikiaa from now onwards, usije niuliaa dada angu akati tupo wawili tu kama macho, ila kumbuka shida hazina mwisho kila kitu chetu twaja chukuaaa shemeji usiyejielewaaa.

From your brother inlaw,

Jerome j.k
 
- Pole mkuu

- Pole kwa dada yako

- kipendacho roho...ya dada yako muachie dada yako (tafuta cha kujifunza and move on with life)

- "Ee Mungu nisaidie kwenye ndoa yangu kusijekuwa na 'cha mama' na 'cha baba'" [HASHTAG]#amen[/HASHTAG]
 
Ila mi niliwahi kuwaambia wadogo zangu, yani siku ukiwa na boyfriend sijui akanyanyua mkono kukupiga..walai kama unampenda sanaaaa basi hakikisha sifahamu la sivyo sitojali ni baunsa kiasi gani ila nita deal na yeye sawia!!!

Somehow nakuelewa..ila ndo maisha...think positively, kila jambo lina jema lake! (ingawa ni ngumu kukubali)
 
kwa sasa ni goodbye forever hawez na haitatokea imagine mtu kisa dadaa ngu kahamishwa kikazi yy kawekewa mpaka wadada wawili wa kazi akaamua kuleta na mwanamke ndani mwingine
Never say never hasa katika haya mambo ya mapenzi.
Unaweza chonga sana ukawa mstari wa mbele ukaja shangaa wao wanapatana haya mambo haya we acha tu...
 
Aiseee mie sijaumbwa na huo uoga kabisa ukinikosea nakwambia live lakini haya mambo yakumuandikia ujumbe ilihali una uwezo wa kumwambia live.Kama mtu mlimsaidia kihivyo hana fadhila na haukupaswa kumficha ficha wewe mwanaume unaongea nae kiume unamwambia ya moyoni ila hizi mambo tuachie watoto wa kike japo mie pia nisingeweza kumuandikia ujumbe ningemwambia live bila chenga
 
kwa sasa ni goodbye forever hawez na haitatokea imagine mtu kisa dadaa ngu kahamishwa kikazi yy kawekewa mpaka wadada wawili wa kazi akaamua kuleta na mwanamke ndani mwingine
Kuwa na akiba ya maneno. Huyo ni dada yako mengine hawezi kukwambia. We unaweza kuona ndo mwisho lakini wakarudiana. Tumeona mengi. Kwahiyo nakushauri uwe mpole we ni kaka mtu na vigumu kumsemea dadako. Dadako akisema haya unayosema angalau tunaweza kuamini ingawa napo.wengi baadae hubadilisha maamuzi. Haya mambo ya mahusiano yako complicated usiyachukulie kwa hasira. Ikitokea dada akarudi kwake we utaishiwa la kusema. Mkianza maneno anaweza.kukwambia unamgombea dada yako. Hivyo nafikiri hili jukumu muachie dada yako ndiye mtendwa.
 
ha

Never say never hasa katika haya mambo ya mapenzi.
Unaweza chonga sana ukawa mstari wa mbele ukaja shangaa wao wanapatana haya mambo haya we acha tu...
hapana aisee kwa hili haitawezekana trust me yan mwaka mmoja kashakaa na mwanamke mwingine na ana mimba tayari while wa dada angu ana mwaka alafu bado tumsamehe?alikuja akasema hanaga wazazi alilelewaa kama mtoto dada angu hawezi tena kapata kai nzuri but hajatupunguzia kitu zaidi ni kuwa kampiga teke chura my sisy bado mzuri aiseeeee
 
ha


hapana aisee kwa hili haitawezekana trust me yan mwaka mmoja kashakaa na mwanamke mwingine na ana mimba tayari while wa dada angu ana mwaka alafu bado tumsamehe?alikuja akasema hanaga wazazi alilelewaa kama mtoto dada angu hawezi tena kapata kai nzuri but hajatupunguzia kitu zaidi ni kuwa kampiga teke chura my sisy bado mzuri aiseeeee
We jamaa wewe kuwa na akiba ya maneno maana mapenzi ni kati yake na dada yako sasa naona mnayafanya kama ni kati yake na familia yenu.
 
Kuwa na akiba ya maneno. Huyo ni dada yako mengine hawezi kukwambia. We unaweza kuona ndo mwisho lakini wakarudiana. Tumeona mengi. Kwahiyo nakushauri uwe mpole we ni kaka mtu na vigumu kumsemea dadako. Dadako akisema haya unayosema angalau tunaweza kuamini ingawa napo.wengi baadae hubadilisha maamuzi. Haya mambo ya mahusiano yako complicated usiyachukulie kwa hasira. Ikitokea dada akarudi kwake we utaishiwa la kusema. Mkianza maneno anaweza.kukwambia unamgombea dada yako. Hivyo nafikiri hili jukumu muachie dada yako ndiye mtendwa.
aiseee ka aliyoyafanya mpaka kutukana wazazi wangu sio rahisi aiseee na dada angu haitakaa itokee tena ndo tushaamuaa nando anaanza kufuatiliaa talaka kanisani
 
We jamaa wewe kuwa na akiba ya maneno maana mapenzi ni kati yake na dada yako sasa naona mnayafanya kama ni kati yake na familia yenu.
kwa hili ni la familiaaa sio lake na mkewe yaan alikuwa kama mtoto home na sio shemeji ilaamkapata kazi kaitukana saan familiaa while kosa lake mwanaume unashindwa kujizuiaa ndio basi kcheat ndo mpaka mimba jaman??
 
kwa hili ni la familiaaa sio lake na mkewe yaan alikuwa kama mtoto home na sio shemeji ilaamkapata kazi kaitukana saan familiaa while kosa lake mwanaume unashindwa kujizuiaa ndio basi kcheat ndo mpaka mimba jaman??
Haya bwana. Kila la kheri.
 
mapenzi ni kiza kinene sana povu lote hili utashabgaa dada yako amerudi
 
Dada yako ana mawazo hayaaaaa au ni ww mwenyewe tu. Wpendanao wakihitilafiana…………………
 
Back
Top Bottom