Mwalufunamba
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 211
- 129
- Thread starter
- #41
The Infamous,
hebu imagine,mke hakuwa anavaa hivyo, ghafla kaanza kuvaa hivyo na anavaa chumbani si mume anamuona? Lakini anakaa kimya!
Kwenye gari mwanamke upaja unang'ara mume kimya!
Leo ndugu yako katoka alikotoka anaanza kukupa mtazamo wakekuhusu mkeo, ndo unamuona kuwa anaachia mapaja?
La hasha, kwa hiyo situation huyo mume anavutiwa, ila sema ndugu wanamidomo, tena usikute mume ndo anamwambia mkewe apige umini, .........ila inabidi awe mkali kuyokana na wapambe.....
Kumbuka kwenye ndoa humu kula mtu ana style yake, mwengine hataki kuona misketi mirefu mwengine anataka........ Wewe unaweza usiruhusu ila wenzio wakaona sawa hata mke akitembea na vi skin tight......
Ninachosemea ni swala la shemeji kujifanya msimamizi na mke wa mwenzake, kuleta sheria zake kwa mke wa mwenzake wakati hajui wakijifungia chumbani wanazungumza nini, atakuja kujenga uadui usiokua na maana........mwisho wa siku akumbuke huuo mke ana power kubwa kwa nduguye...
Awe makini asigeuziwe vibao akaja kujuta baadae
Sijajifanya kuwa msimamizi. Laiti ungejua namna mimi, mke wangu na watoto tunavyo muheshimu usingelisema hilo. Ndiyo maana sikutaka kujificha nyuma ya pazia, nilimwambia "baba mdogo" aseme ni mimi nimesema. Kiukweli wao ndiyo wana nguvu juu yetu kuliko unavyodhani.
Simhesabu shemeji, ni zaidi ya shemeji; twamuona ni ndugu yetu, mama yetu. Kiumri kanizidi na heshima pia.
Last edited by a moderator: