Fixed Point
JF-Expert Member
- Sep 30, 2009
- 11,304
- 12,744
wenzake kwenye mikoba yetu ya ofisini huwa tunakuwa na kanga, au siku hizi mitandio ambayo unaweza jifunga kama kanga ukipata "ajali". kama ni lazima sana kupanda hiyo pikipiki, au akikaa mbele za watu basi awe anajifunga kanga/mtandio. labda kama anapenda kuonyesha hayo mapaja.................. si unasema yanalipa? labda mwenzenu yupo kwenye matangazo