Shemeji mawenge

Shemeji mawenge

Yani mnashea da! ! !,
Kaka ukifanya jambo linakuwa na impact mpaka ulimwengu wa wa kiroho hasa kwenye kufanya uasherati nakushauri mwache alafu nenda ukatubu kinachonishangaza mnaingia ndugu sehemu moja ni uchafu wa ajabu huu
 
Hizi ni akili mbuzi we na your second bro,hamjafanya poa kabisa yani
 
Angalia sana kijana, usije ukafa mapema
 
Sister Cajojo, hili ni kosa ambalo nalijutia sana..at least nmesema hapa nimepata relief kidogo regardless matusi nnayopokea.

Nimemwambia huyu bro kuhusu hiyo issue na nnashukuru Mungu amenielewa na hakutaka tena kuongea chochote na huyu shemej etu zaidi nae amejutia kwa ujinga aliotaka kuufanya.

Kuhusu kupima afya nitafanya hivyo japo najua katika sarakasi zangu zote sijawahi kucheza 'peku' na nilichukua tahadhar zote.

Asante Sisy
Big up brother. Hakuna aliemkamilifu sote tu wadhambi kubwa ni kutubu na kubadilika. Umefanya vyema kumwambia bro wako I hope mambo yatakua shwari
 
halafu mkuuinaonesha ni jinsi gani ulivo na akili ya kitoto, yaan hii thread inanithibitishia kua akili yako haina tofauti ya dogo waa darasa la 3D. Endelea na ujinga wako
Asante mkuu,
 
unamuita shem wako ni mawenge ilhali umejisema mwenyewe kwenye text kuwa wewe ndio mawenge!
 
Mwananke moja inaangusha dume tatu pumbafu sa familia moja. Shee!!!!
 
Kwenye mesegi umejiita MAWENGE alafu unamsingizia Shemeji....Jina la THREAD ungeweka : FAMILIA YETU MAWENGE!!
 
1. Wahi angaza kabla ya yote.
2. Ktk maisha ewe mwanaume jaribu kukishughulisha kichwa cha juu (head),, usijaribu kukipa nafasi kichwa cha chini (ub*oo) eti ndiyo kiwe mwamuzi wa mwisho ktk dunia ya sasa.. ndugu utafeli.
3.never trust any woman ktk karne hii.
4.dhibiti tamaa ya zinaa mana mauti ipo arround the corner
 
ACHENI UMALAYA, MTAKUJA KUFA KAMA KUKU WA KUDERI. SHAMEFUL KULETA STORY YA NDUGU 3 WA DAMU SHARING THE SAME WOMAN, Aibu tena aibu sana
 
Kaka yenu alikufa kwa ngoma na Ww umeshaivagaa nakushauri mwambie ndugu yako mwingine asimtomb* huyo demu atawamaliza pia sio busara kugonga demu wa Ndugu yako wa damu hata kama ameshafariki
 
Watu humu kujifanya saint! Khaaaa

Mleta uzi ushagundua kosa lako kitu ambacho ndo tabibu wa haya majanga yako!

Usirudie tena!
 
Kaka yenu alikufa kwa ngoma na Ww umeshaivagaa nakushauri mwambie ndugu yako mwingine asimtomb* huyo demu atawamaliza pia sio busara kugonga demu wa Ndugu yako wa damu hata kama ameshafariki
Aisee..asante kwa ushauri,

btw hakufa kwa ngoma kma unavosema..aliuawa, alifia mikononi mwa polish
 
Back
Top Bottom