yellow eyes
JF-Expert Member
- Mar 6, 2018
- 2,904
- 3,353
Pole sana starboywiz kikubwa umeshalitambua kosa lako. Hebu omba Mungu akuondoleee hiyo laana na mikosi pia uloipata kwa huo uasherati. Kuna watu wanafanya mambo ya ajabu na yakutisha mno lakn hawajisem hadharan tu. Kwanza we ni jasiri sana umejiweka wazi so wewe siyo wa kwanza kutenda dhambi, kikubwa mwambie Mungu atakusamehe na utakuwa huru kabisa.Asantee sis,
Jikite sasa kwny issues za maana(masomo) kila kitu kitakuwa sawa.