Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 18,821
- 57,419
Nimepitia baadhi ya maoni ya wadau humu nimeona kila mmoja amekupinga kwa kitendo ulichofanya, of course kitendo hiko hakipaswi kufanywa na mtu aliyestaarabika tena kwenye karne hii ya 21 iliyojaa maradhi ya kutisha.
Muhimu umegundua kosa lako hakikisha hurudii tena, yaani hapo kama brother ako alikufa kwa ngwengwe mnataka wote mfe??
Acheni hiyo mambo Mkuu.
Muhimu umegundua kosa lako hakikisha hurudii tena, yaani hapo kama brother ako alikufa kwa ngwengwe mnataka wote mfe??
Acheni hiyo mambo Mkuu.
