sheikh yasin
Member
- Aug 6, 2015
- 61
- 50
kwa karibu miezi minne sasa hali yangu kiuchumi imeimarika mara dufu, hii imepelekea rafiki yangu wa karibu kuja kuazima cash mara kwa mara kwangu
Sasa mkewe ni mfanyabiashara, na nna ukaribu na wote wawili, huyu dada watu wa mikopo walikuja saloon kwake kukamata vitendea kazi kwa kua hakupeleka marejesho, ndipo akanipigia simu nimsaidie, 350,000/= ili wasichukue vitu, kuwa atanirudishia, nikamtumia hapo hapo kwa M_pesa
Basi siku moja akaniita nyumbani, nikaenda nikijua mshikaji nae yupo, na pia nikajua naenda kupewa hela, nasikitika kufika pale bila kukusudia tukatenda dhambi, ila nn yy ndie alinirubuni na kunishawishi, mm sikua na nia hiyo, nilimkuta kajifunga mtandio tu bila chochote ndani,
Tumeshatenda dhambi kama mara nne hivi, na sasa hivi kasema nikiwa namuhitaji niwe namueleza tu tunaenda sehemu tunamalizana ila hela yy hana, kwamba hadi nitakapochoka mwenyewe au nitakapoona hela imeisha
Sasa wadau kwa hali hii nitapataje hela yangu na mm nimeitoa kwenye mzunguko wa biashara, mshikaji analijua hili deni maana siku watu wa mikopo walipoenda kukamata vitu vya mkewe yy ndie alimshauri anijaribu mm, sasa hivi nikimkumbusha mshikaji deni anasema nimwambie mwenye deni mwenyewe
Sasa hizi ndugu zangu si lawama? Au niendelee tu kupumzika na mkewe hadi nitosheke?
Sasa mkewe ni mfanyabiashara, na nna ukaribu na wote wawili, huyu dada watu wa mikopo walikuja saloon kwake kukamata vitendea kazi kwa kua hakupeleka marejesho, ndipo akanipigia simu nimsaidie, 350,000/= ili wasichukue vitu, kuwa atanirudishia, nikamtumia hapo hapo kwa M_pesa
Basi siku moja akaniita nyumbani, nikaenda nikijua mshikaji nae yupo, na pia nikajua naenda kupewa hela, nasikitika kufika pale bila kukusudia tukatenda dhambi, ila nn yy ndie alinirubuni na kunishawishi, mm sikua na nia hiyo, nilimkuta kajifunga mtandio tu bila chochote ndani,
Tumeshatenda dhambi kama mara nne hivi, na sasa hivi kasema nikiwa namuhitaji niwe namueleza tu tunaenda sehemu tunamalizana ila hela yy hana, kwamba hadi nitakapochoka mwenyewe au nitakapoona hela imeisha
Sasa wadau kwa hali hii nitapataje hela yangu na mm nimeitoa kwenye mzunguko wa biashara, mshikaji analijua hili deni maana siku watu wa mikopo walipoenda kukamata vitu vya mkewe yy ndie alimshauri anijaribu mm, sasa hivi nikimkumbusha mshikaji deni anasema nimwambie mwenye deni mwenyewe
Sasa hizi ndugu zangu si lawama? Au niendelee tu kupumzika na mkewe hadi nitosheke?