Shemeji ananitaka

Asante sana mkuu, barikiwa kwa moyo wako wa kutaka kuniungisha, samahani sitaweza kukupa location sihitaji kujulikana na yeyote.
Sawa. Naheshimu uamuzi wako. Lakini Kumbuka kuwa; Wakati mwingine fursa huwa hazijirudii. Ikija ukaipotezea, inakuwa imetoka hiyo.
Hata hivyo nakutakiwa kila lenye heri na baraka kwenye biashara/kazi yako.
 
Sawa. Naheshimu uamuzi wako. Lakini Kumbuka kuwa; Wakati mwingine fursa huwa hazijirudii. Ikija ukaipotezea, inakuwa imetoka hiyo.
Hata hivyo nakutakiwa kila lenye heri na baraka kwenye biashara/kazi yako.
Asante 🤩🙏
 
Kweli unaonekana una nia ya dhati, jambo la kusikitisha ni kwamba sina rafiki wala ndugu wa kike, nipo mimi kama mimi tu, ndiyo maana nashauri uandike uzi uweke na vigezo unavyohitaji uweke na sifa zako atakayevutiwa aje muyajenge
 
shikilia hapohapo,, ongeza vina 😆

sie mashabiki kazi yetu kushabikia
 
Sitaki siyo nidhamu kutembea na shemeji
Absolutely 100%. Sio heshima hata kidogo lakini pia itamfanya akudharau, anavyokuchukulia sasa na hapo baadae ukimpa itakuwa tofauti and likely akakuuzia kesi kwa rafiki yake kuwa ulikuwa unamtaka kimapenzi muda mrefu.

Kuwa makini my dear
 
"Love defies reason" suggests that love is a powerful, often inexplicable emotion that transcends logic and rational thought, meaning it's felt deeply and unconditionally, not just based on observable qualities or reasons". samahani sina lugha rahisi ya kujibu uzi wako lakini angalao unaweza pata jibu kwa hiyo para ya ngeli, wengi inatutokea mpaka romantically unampenda rafiki/shoga wa beloved wife kuliko wife mwenyewe😀
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…