BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,766
- 23,217
kikao cha familia kinawahusu
Huku kwetu "Komakoma" kuna kikosi kazi kwa ajili ya kushughulikia Wakware kama hao....huwa wanawala vi-pumpkin
Jamani mwenzenu ninamasikitiko makubwa sana. Shemeji aliyeoa dada yangu ananichukulia mke wangu, nilikuwa nasikia tu fununu siku za nyuma lakini sasa ushahidi umekuwa dhahiri. Kulipa kisasi kwake haiwezekani kwani mkewe ni dada yangu wa tumbo moja. Naogopa kuliweka wazi hili kwa sababu naona aibu kwa familia yetu.
Ndugu zangu naomba ushauri wenu katika hili, nifanyeje jamani...
kazikubwa mbona unakuwa kama kazi ndogo ,yaani unagundua wife anamegwa hlf unakubali kirahisi rahisi tu unakuja kulia hapa kwenye keyboards
achana na huyo mwanamke wewe usiwe mjinga
Deal na mkeo tu hapo. Hayo ya shemeji achana nayo, alie gegedwa ni mkeo na si vinginevyo
Jamani mwenzenu ninamasikitiko makubwa sana. Shemeji aliyeoa dada yangu ananichukulia mke wangu, nilikuwa nasikia tu fununu siku za nyuma lakini sasa ushahidi umekuwa dhahiri. Kulipa kisasi kwake haiwezekani kwani mkewe ni dada yangu wa tumbo moja. Naogopa kuliweka wazi hili kwa sababu naona aibu kwa familia yetu.
Ndugu zangu naomba ushauri wenu katika hili, nifanyeje jamani...
Tafuta ushahidi usiokuwa na doubt unaoweza kuupresent kwenye vikao. Kula tigo wife halafu achana nae akijifanya kukushtaki kwa familia toa ushahidi. Hawawezi acha hao.
Hii ni aibu tena ni fedheha kubwa sana yaan kwa alichokifanya shem wako ni sawa na wewe kulala na dada yako..yaan hii aibu haikupaswa hata ww kupata ujasiri wa kuandika hapa JF,ur a man n his a man unachomuogopea nn?kaen nyie wanne ww,mkeo,dada na shem ongea mbaba...afu ongea na mkeo afungashe vilago kama kaweza kutembea na mume wa wifi yake hashindwi kutembea na wadogo zako kaka zako wajomba zako na n.k kua muangalifu aisee we live once sasa we jifanye unaogopa kumbe familia nzima inakuchora tu ka kikatuni...Jamani mwenzenu ninamasikitiko makubwa sana. Shemeji aliyeoa dada yangu ananichukulia mke wangu, nilikuwa nasikia tu fununu siku za nyuma lakini sasa ushahidi umekuwa dhahiri. Kulipa kisasi kwake haiwezekani kwani mkewe ni dada yangu wa tumbo moja. Naogopa kuliweka wazi hili kwa sababu naona aibu kwa familia yetu.
Ndugu zangu naomba ushauri wenu katika hili, nifanyeje jamani...