Nikilewa mniache
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 19,329
- 52,054
Habari, naona moshi mzito kama kule Gaza nikiwa umbali wa kilomita 1 nikapiga simu kuuliza kumbe ni sheli ya hapa dampo inaungua
Kama kuna aliyeko kwenye eneo hilo tunaomba atuhabarishe kwa picha za karibu
Kama kuna aliyeko kwenye eneo hilo tunaomba atuhabarishe kwa picha za karibu