MAMMAMIA
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 3,811
- 1,603
Bila ya lengo la kuingilia wal kuathiri imani za watu, wote wana malengo yao, umaarufu na maslahi ($$$).
Yesu alipokuwa anaponya wagonjwa kwa miujiza na amri ya Mungu, alikuwa hadai "kitu kidogo". Hata waganga wengi wa jadi, wale wanaoponya kwa lengo la kutenda wema, hawadai kabla ya kutibu na kuponya. Wengi walikuwa (na ikiwabado wapo) wanakuambia "Ukishakupona ndio utaleta "ulichonacho". Ijapokuwa maisha yamepanda na nyakati zimegeuka, lakini tamaa zimezidi.
Hapa simsemi huyu pastor wa Loliondo (Mungu ambariki) kwani sijui anachokitenda zaidi ya kile ninachosoma hapa, ninakusudia waganga kwa jumla kama inavyoonekana nyakati hizi.
Yesu alipokuwa anaponya wagonjwa kwa miujiza na amri ya Mungu, alikuwa hadai "kitu kidogo". Hata waganga wengi wa jadi, wale wanaoponya kwa lengo la kutenda wema, hawadai kabla ya kutibu na kuponya. Wengi walikuwa (na ikiwabado wapo) wanakuambia "Ukishakupona ndio utaleta "ulichonacho". Ijapokuwa maisha yamepanda na nyakati zimegeuka, lakini tamaa zimezidi.
Hapa simsemi huyu pastor wa Loliondo (Mungu ambariki) kwani sijui anachokitenda zaidi ya kile ninachosoma hapa, ninakusudia waganga kwa jumla kama inavyoonekana nyakati hizi.